Uarabuni maisha safi

Uarabuni maisha safi

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,105
Ukifika Saudia, Kuwait, Qatar, Oman l, Bahrain na UAE (Dubai, Sharjah ama Abu Dhabi) utakubali kuwa zile nchi zimebarikiwa. Mfanya usafi Msikitini analipwa yapata 5m TZS Kwa mwezi (na hakuna Kodi).

 
Watu wanaleta utani lakini nenda google angalia pesa ya oman uone ilivyo juu ya dola ya marekani...na wale wa kiafrica mabinti wengi wanalipwa zaidi ya laki 7 mpaka milioni na kuendelea.. baadhi yao wakirudi huku wanajenga.
 
Wadada kibao wapo huko saudi arabia kama ma house girl wanalalamika tu waarabu hawana utu kwa mtu mweusi
Sema wewe af bado anataka kuchukua watoto wa watu huyu itakuwa ametumwankuchukua watu akawauze huko
 
Watu wanaleta utani lakini nenda google angalia pesa ya oman uone ilivyo juu ya dola ya marekani...na wale wa kiafrica mabinti wengi wanalipwa zaidi ya laki 7 mpaka milioni na kuendelea.. baadhi yao wakirudi huku wanajenga.
Nitajie bilionea mweusi Bongo aliyewahi ishi Uarabuni. Si mnasema kuna hela bwerere uko
 
Mleta mada hao wendawazimu si ndiyo waliwalisha dada zako mavi madai kwao ni starehe?

Hawajitambui kosa kuwa na mafuta wangekuwa na njaa zaidi ya bongo kwa sababu hawazishughulishi akili zao kwa mambo ya maana!
 
Back
Top Bottom