TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 27,475 14,792 Nov 27, 2010 #1 Naona shughuli za uapishaji zinaendelea vizuri kabisa
TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 27,475 14,792 Nov 27, 2010 Thread starter #3 yeah, cha kushangaza ni jinsi JF ilivyopotezea huo uapishwaji... unbelievable... watu wakikuchoka, wanachoka vibaya mno aisee
yeah, cha kushangaza ni jinsi JF ilivyopotezea huo uapishwaji... unbelievable... watu wakikuchoka, wanachoka vibaya mno aisee
T tk JF-Expert Member Feb 7, 2009 270 6 Nov 27, 2010 #4 Acid said: yeah, cha kushangaza ni jinsi JF ilivyopotezea huo uapishwaji... unbelievable... watu wakikuchoka, wanachoka vibaya mno aisee Click to expand... Kwani imekuwaje? Kuna tofauti gani this time? Wengine hatuoni..
Acid said: yeah, cha kushangaza ni jinsi JF ilivyopotezea huo uapishwaji... unbelievable... watu wakikuchoka, wanachoka vibaya mno aisee Click to expand... Kwani imekuwaje? Kuna tofauti gani this time? Wengine hatuoni..
F Fareed JF-Expert Member Apr 13, 2010 328 135 Nov 27, 2010 #5 Bahati mbaya niko mbali na luninga. SAMUEL SITTA ameapa? Kumekuwa na tetesi nyingi kuwa Sitta atasusia cheo cha Waziri wa EAC alichopewa na Kikwete...
Bahati mbaya niko mbali na luninga. SAMUEL SITTA ameapa? Kumekuwa na tetesi nyingi kuwa Sitta atasusia cheo cha Waziri wa EAC alichopewa na Kikwete...