Uapishaji wa mawaziri

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
22,945
8,836
yeah, cha kushangaza ni jinsi JF ilivyopotezea huo uapishwaji... unbelievable... watu wakikuchoka, wanachoka vibaya mno aisee
 

tk

JF-Expert Member
Feb 7, 2009
270
6
yeah, cha kushangaza ni jinsi JF ilivyopotezea huo uapishwaji... unbelievable... watu wakikuchoka, wanachoka vibaya mno aisee

Kwani imekuwaje? Kuna tofauti gani this time? Wengine hatuoni..
 

Fareed

JF-Expert Member
Apr 13, 2010
328
135
Bahati mbaya niko mbali na luninga. SAMUEL SITTA ameapa? Kumekuwa na tetesi nyingi kuwa Sitta atasusia cheo cha Waziri wa EAC alichopewa na Kikwete...
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Top Bottom