Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,855
Hivi eti sasa hivi NEC wako mkoa gani maana naona hawaweki updates kwenye website yao,sijui kwa nini taasisi za serikali zinakuwa zinapenda kufanyia kazi gizani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo huna uhakikaI guess mbeya
Kwahiyo huna uhakika
Ok kwahiyo kumbe walipotoka mwanza walipaa na airbus mpaka huko kusini,ahsante mkuu kwa taarifaLast tym nliambiwa wako huko na tar 20-26 watakuwa Songwe