Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,856
Hivi eti sasa hivi NEC wako mkoa gani maana naona hawaweki updates kwenye website yao,sijui kwa nini taasisi za serikali zinakuwa zinapenda kufanyia kazi gizani
Kwahiyo huna uhakikaI guess mbeya
Kwahiyo huna uhakika
Ok kwahiyo kumbe walipotoka mwanza walipaa na airbus mpaka huko kusini,ahsante mkuu kwa taarifaLast tym nliambiwa wako huko na tar 20-26 watakuwa Songwe