Uamuzi wa Mahakama Kuu juu katika Kesi ya Saidi ISSA Mohamed & Wenzake

Uamuzi wa Mahakama Kuu juu katika Kesi ya Saidi ISSA Mohamed & Wenzake

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,662
Reaction score
59,100
Uamuzi wa Mahakama Kuu katika Kesi ya Saidi ISSA Mohamed & Wenzake vs Bodi ya Wadhamini wa CHADEMA & Katibu Mkuu wa CHADEMA juu ya pingamizi ya mamlaka ya Mahakama kusikiliza kesi hiyo utatolewa tarehe 11 Februari 2026 saa tatu asubuhi.
IMG-20260206-WA0057.jpg
IMG-20260206-WA0056.jpg
 
Kitendo cha jaji Mwanga kung'ang'ania hii kesi mpaka leo sioni dalili nzuri.

Chadema na sisi tuache unyonge, huyo Said Issa tunashindwa vipi kumbana aondoe kesi? Kama CCM imeamua kuwa mafia inabidi tubadilike hawaelewi lugha nyingine zaidi ya ile ya tarehe 29 oktoba.

Huyo Said Issa akikutana na nguvu ya umma na akabinywa kidogo ataondoa kesi na mchezo utaishia hapo.

Mbona kipindi cha Dr Slaa tulikua tunadhibiti huu ujinga kimya kimya. Kama tu wale Covid 19 walikivimbia chama na hakuna kitu tuliwafanya ina set precedence mbaya ndio haya kina Said Issa, mara Mchome, kesho ataibuka Mwingine but if we are a bit aggressive tutakiokoa chama.
 
Kitendo cha jaji Mwanga kung'ang'ania hii kesi mpaka leo sioni dalili nzuri.

Chadema na sisi tuache unyonge, huyo Said Issa tunashindwa vipi kumbana aondoe kesi? Kama CCM imeamua kuwa mafia inabidi tubadilike hawaelewi lugha nyingine zaidi ya ile ya tarehe 29 oktoba.

Huyo Said Issa akikutana na nguvu ya umma na akabinywa kidogo ataondoa kesi na mchezo utaishia hapo.

Mbona kipindi cha Dr Slaa tulikua tunadhibiti huu ujinga kimya kimya. Kama tu wale Covid 19 walikivimbia chama na hakuna kitu tuliwafanya ina set precedence mbaya ndio haya kina Said Issa, mara Mchome, kesho ataibuka Mwingine but if we are a bit aggressive tutakiokoa chama.
Mmmh et covid waliizindia chadema kwani wale si walikua na backup ya serikali na bunge kwa ujumla ndo maana hawakufanywa kitu.
 
Hiyo ni lugha ya kisheria, mdau ameomba ufafanuzi na tupo wengi tunaohitaji kufahamu zaidi kilichomaanishwa kwenye hizo karatasi.
🙏
Hapa hapaeleweki kweli? Au lugha gani unasema wewe?

Uamuzi wa Mahakama Kuu katika Kesi ya Saidi ISSA Mohamed & Wenzake vs Bodi ya Wadhamini wa CHADEMA & Katibu Mkuu wa CHADEMA juu ya pingamizi ya mamlaka ya Mahakama kusikiliza kesi hiyo
 
Hapa hapaeleweki kweli? Au lugha gani unasema wewe?

Uamuzi wa Mahakama Kuu katika Kesi ya Saidi ISSA Mohamed & Wenzake vs Bodi ya Wadhamini wa CHADEMA & Katibu Mkuu wa CHADEMA juu ya pingamizi ya mamlaka ya Mahakama kusikiliza kesi hiyo
1. Kesi juu ya Issa na wenzake VS CHADEMA
2. Pingamizi la kusikilizwa kwa kesi hiyo
Ndio maana mdau aliomba ufafanuzi,

NB, kama kutoa ufafanuzi inashindikana hakuna haja ya kuzozana nimatumizi mabaya ya muda.
🙏
 
Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu namba 19605/2025

Kesi ya Tundu Antiphas Lissu, Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA, kusikilizwa kuanzia tarehe 9 Februari 2026 hadi 6 Machi 2026. Kesi hiyo inasikilizwa na majaji watatu: ...

1770401674095.jpeg
 
1. Kesi juu ya Issa na wenzake VS CHADEMA
2. Pingamizi la kusikilizwa kwa kesi hiyo
Ndio maana mdau aliomba ufafanuzi,

NB, kama kutoa ufafanuzi inashindikana hakuna haja ya kuzozana nimatumizi mabaya ya muda.
🙏
Twende taratibu ili nami nikuelewe. Hizo 1 na 2 umezitoa wapi?
 
Mmmh et covid waliizindia chadema kwani wale si walikua na backup ya serikali na bunge kwa ujumla ndo maana hawakufanywa kitu.
Enzi za Dr Slaa uliona ujinga kama ule? Kina Mwigamba walifuatwa hadi Lodge na kubananishwa!! Ndio maana wakakimbia chama

Kina Dennis msacky walikichafua chama "wakabipiwa" same to yule mlinzi wa Dr Slaa alivyotaka kumpa sumu alishughulikiwa mpaka akaeleza waliomtuma.

Back then we had mabere marando kama mtu wa usalama!! Sijajua tumekuaje siku hizi tunazungukwa ila tumezubaa tu inatakiwa tuwe aggressive.
 
Enzi za Dr Slaa uliona ujinga kama ule? Kina Mwigamba walifuatwa hadi Lodge na kubananishwa!! Ndio maana wakakimbia chama

Kina Dennis msacky walikichafua chama "wakabipiwa" same to yule mlinzi wa Dr Slaa alivyotaka kumpa sumu alishughulikiwa mpaka akaeleza waliomtuma.

Back then we had mabere marando kama mtu wa usalama!! Sijajua tumekuaje siku hizi tunazungukwa ila tumezubaa tu inatakiwa tuwe aggressive.
Kumbe hiyo ndio michezo yenu ;

Mnatekana huko na kuumizana halafu mnasingizia wengine
 
Back
Top Bottom