Uamsho: Sasa Tunalivaa Swala La Kuuvunja Muungano Kiimani. Tuko Tayari Kwa Kila kitu

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
  • Dhulma ya Tanganyika litan'gooka sasa. Tuko Tayari kwa kila kitu, hili swala tumelivaa kiimani. Hatuwezi kulipata nchi bila kuingiza Uislamu.
  • "Tunadai Zanzibar yetu Kwenye makucha ya Tanganyika Kiimani sasa"
  • Akitajwa Kiongozi Mwislamu hata kama katukera, tusimlaani. Wakitajwa wale makafiri, Jina lake mpaka litafute Juisi.
  • Umuhimu wa Waislam kuwa na nchi yao, kuilinda na kuitetea nchi yao.
  • Je Kwani mnanchi nchi? Nchi yenu imeibiwa na Wakristo
  • Tusikubali utawala wa watu makafiri wababe, kama nabii rasul Musa. Tunataka taifa letu
  • Njia tu ya kupigania uhuru ni Jihad. Lazima tupigane kama watu wadini
  • Wabara wapumbavu, wamezoea kuingia mikataba ya kijinga ya kunufaisha mafisadi na wageni. Sisi hayo hatutayakubali. tunaitaka nchi yetu
  • Mkiombwa kupigana kwa ajili ya nchi yenu mko tayari? Kwa maana mnayoyataka inafika muda mnalazimika kupigana
  • Mnakufa kwa maradhi yanayotibika
  • Tukifa sisi bila kuwapa nchi, vizazi vyetu vitakuwa wakiristo !
  • Tunayemtaka ni jemedari wa kutuongoza kuikomboa nchi yetu
  • Watanganyika na wakristo ni wezi, wanaiba matrillioni. Wamepandikiza chuki na wizi wao kwenye mashirika ya umma. Kila wizara na taasiri inanuka ufisadi. hatutaki muungano
  • Baadhi yao wanajifanya kuzungumzia wanzanibari kuhusu muungano. Waacheni wanznibari wajiamulie, njooni hapa muuwailize wanzibari kama wanautaka huo muungano wenu.
Maneno yao hapo sikiliza.....Inatisha. Muungano umekwisha, waachani hawa watu waende wanapandikiza chuki mbaya kwenye kivuli cha Udini. Kwa mwendo huu, muungano umekufa

[video=youtube_share;xXMONXpT5k M]http://youtu.be/xXMONXpT5kM[/video]

[video=youtube_share;RHYJADVg4x Y]http://youtu.be/RHYJADVg4xY[/video]

[video=youtube_share;870Wy0I8lUc]http://youtu.be/870Wy0I8lUc[/video]

[video=youtube_share;a1XSP0ClhSY]http://youtu.be/a1XSP0ClhSY[/video]
 
Duh tumefikia mahali pabaya kwakuwa watawala wameshindwa kutimiza wajibu wao bahati mbaya bado wanataka kutawala.
 
Duh tumefikia mahali pabaya kwakuwa watawala wameshindwa kutimiza wajibu wao bahati mbaya bado wanataka kutawala.

Hivi wanashindwa hata kufanya reference za tawala zilizopita ?
 
  • Dhulma ya Tanganyika litan'gooka sasa. Tuko Tayari kwa kila kitu, hili swala tumelivaa kiimani. Hatuwezi kulipata nchi bila kuingiza Uislamu.
  • "Tunadai Zanzibar yetu Kwenye makucha ya Tanganyika Kiimani sasa"
  • Akitajwa Kiongozi Mwislamu hata kama katukera, tusimlaani. Wakitajwa wale makafiri, Jina lake mpaka litafute Juisi.
  • Umuhimu wa Waislam kuwa na nchi yao, kuilinda na kuitetea nchi yao.
  • Je Kwani mnanchi nchi? Nchi yenu imeibiwa na Wakristo
  • Tusikubali utawala wa watu makafiri wababe, kama nabii rasul Musa. Tunataka taifa letu
  • Njia tu ya kupigania uhuru ni Jihad. Lazima tupigane kama watu wadini
  • Wabara wapumbavu, wamezoea kuingia mikataba ya kijinga ya kunufaisha mafisadi na wageni. Sisi hayo hatutayakubali. tunaitaka nchi yetu
Maneno yao hapo sikiliza.....Inatisha. Muungano umekwisha, waachani hawa watu waende wanapandikiza chuki mbaya kwenye kivuli cha Udini. Kwa mwendo huu, muungano umekufa

[video=youtube_share;xXMONXpT5kM]http://youtu.be/xXMONXpT5kM[/video]
[video=youtube_share;RHYJADVg4xY]http://youtu.be/RHYJADVg4xY[/video]
Tuna mda mchache wa kuwahita magaidi...Al-qaeeda...Al-shaabab,Bhoko haram...nalazima tuwavulumishie mabomu ya machozi na risasi zaukweli...maana kama mnaingiza udini katika siasa hatutakubali sisi wa Tanganyika kutuita makafri..pili nyie ni masikini sana huko visiwani leo iweje mseme Tanganyika inawahujumu????
 
Yan leo umeonesha jinsi uamsho walivyo magaidi na wewe ukiwa kiongozi!
Kaa mkao wa kula mabomu na risasi za moto ziko kwaajili ya magaidi kama wewe.

Nashangaa hadi sasahivi haujajitoa muanga una subiri nini wewe usiye mpumbavu.
 
Hivi viongozi wa nchi hii wako wapi? suala kama hili sio la kulipuuzia au kutumia nguvu kulitatua cha muhimu hapa ni kutafakari kwa kina hawa UHAMSHO wapo nyuma ya serikali ya mapinduzi hususani CUF kwani kabla ya ndoa kati ya CCM na CUF vuguvugu hii haikuwepo lakini sasa imekomaa baada ya hii ndoa, kwani inabidi tujikumbushe maneno aliyokuwa akiongea Maalim Seif miongoni mwa maneno yeke ilikuwa suala la Muungano(kuhusu kujitenga), cha muhimu hapa ili kuondokana na kufika kikundi hiki kikawa kama BOKO Haram ni muhimu tuwaachie Zanzibar yao na sisi tubaki na Tanganyika yetu kwani imefikia mpaka sisi waislam tuliopo bara tunaitwa Makafiri maana hawajachanganua kuhusu kauli yao. JAMANI VUNJENI HUO MUUNGANO KWANI UNA FAIDA GANI KUUNG'ANG'ANIA?
 
to be nonesty,mambo wanayotendewa wa bara huku z bar huwezi kuvumilia,wanatengwa kila idara,kuanzia kazini,shuleni hadi wanapoishi!wiki iliyopita walitaka kuchoma tena kanisa la roman,kwa bahati nzuri police walipata taarifa mapema na kwenda kulizingira kanisa!kwa kweli mambo yanayofanyika ni mengi sema hayatangazwi kwny media!serikali inaficha ukweli...
 
Back
Top Bottom