kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
Kichapo kikianza msije kwenda kututia aibu tena kuomba hifadhi Somalia. Piganeni mpaka mtu wa mwisho mtaambulia japo kuzikwa Zanzibar, Hiyo ardhi kamwe hamtaichukua, Mwingereza na Mmalekani walishachukua zamani hivyo visiwa, mnabaki kuilaumu Tanganyika. Mnakuwa majuha msiojua hata adui yenu ni nani, someni Historia between the lines. Mnabaki tu kupokea misaada ya vipaza sauti toka Ubalozi wa Marekani, huku mkijua you have their backup hamjui what is behind the curtain na huu wote ni ujuha. Thread nyingi hapa zilishawaelimisha njia nzuri ya ninyi kuvunja muungano, moja wapo ni ushauri nzuri mliopata kwa Mwanakijiji kwa nini msiwaambia wawakilishi wenu wanaoganga njaa kwenye bunge la Muungano warudi kwenu tu, na muungano utakuwa umeisha period.
Njia mliyotumia kwa wabunge wenu kutoka ukumbini baada ya Meli kuzama, ndio njia hiyohiyo mnaweza itumia kuachana na muungano.Acha unafiki, tokeni kwenye muungano kwa vitendo
They are always useless and nothing more than troublesome and noisemakers.wapeleke upu*** wao uko visiwani tumeshachoshwa na kelele zao za kila siku...