Uaminifu wa mapenzi na password ya simu

Wanaume mnaongoza ni michepuko tu ukiyaona yaliyomo unaweza kuzimiaaaaaaaa
Wewe unaona bora kufa kwa ukimwi bila kujua kama mwenzi wako ni kicheche au uhakikishe kama ni mcharuko ili uamue kunyoa au kusuka?
 
 
Nafikiri ifikie wakati watu tuondoe hii dhana potofu ya kutoaminiana hivi nikweli watu walikuwa hawachepuki kabla ya uwepo wa hizi smart phone au simu kwa ujumla?
Nadhani swala la kuchepuka ni hulka ya mtu anaweza akakupa hiyo password na ukatumia simu yake na kuichunguza uwezavyo na bado akawa smart kwenye kuchepuka
La msingi ni kumwamini na kukumbushana kwa upendo endapo utagundua mwenzako hakuelewi au siyo mwaminifu nikujikalia pembeni tu.Sioni sababu ya kuishi na mtu wakati una mashaka naye unahaha kumtega kumpekua mbona hata penzi huwezi faidi maana muda woote wewe roho jujuu tu si bora uachane naye tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…