Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,686
- 1,278
Mimi nafikiri kwa hali ya ubinadamu kama kweli unampenda nduguyo ni vema ukamwambia au kumpa tahadhari juu ya mambo flani ambayo hayako sawa. But kama alivyosema nyamayao umwambie kistaarabu. Si lazima uanze na haloo haloooo nimemwona mwaflani kasijui nini nii...................au jana shemeji alikuwa na ,.... hapana tafuta mwanzo mzuri kisha muwe kama mwadiscuss ucheck mwelekeo wake kisha wezamalizia tu na mh kuwa makini mwenzangu maana wanaume/wake hawaaminiki..........likitoka hili toka kwako lazima mwambiwaji atahisi kuna kitu so up to yeye aombe apewe mkanda mzima au aanze chunguza mwenyewe..........Ukikurupuka itakugeukia weye.
Mwanajamii naomba usijue langu, maana jinsi unavyoremba! umeniacha hoi