hiyo too much kwa upande wangu,siwezi kuoga na mtu mwingine zaidi ya laazizi wangu tu.
kwa wanaume inatia shaka kidogo.
wadau,katika utu uzima huu, hivi unaweza kuwa na rafikiyo, best yako wa hali na mali, mnashirikiana kwa kila kitu...... HADI KWENDA KUKOGA PAMOJA BAFUNI?!:A S 39:
Mbona hainikai vema akilini hii!!
Mbona huko kwetu MWALONI tunaoga kibao tu,nakumbuka mshikaji mmoja hakuwa na zile NYWELE za chini kaulizwa vp mzee mbona chini hamnako akajibu eti kanyoa jana maana kwake ilikuwa anavizia watu waondoke then ananyemelea alone...Nyie watoto wa mijini MANDE ya kuoga mtaipigia wapi?Wazee wa camp enzi zetu MANDE NDO fasheni wakati wa kuoga
Hebu fafanua umeona wanaume wanaoga pamoja? hapo kutakua na mushkeli kama ni marafiki zako waupuke utaonekana nawe ni mwenzao. Halafu huyo mtoto kwenya Avatar mbona ana hasira hivo?
Mbona huko kwetu MWALONI tunaoga kibao tu,nakumbuka mshikaji mmoja hakuwa na zile NYWELE za chini kaulizwa vp mzee mbona chini hamnako akajibu eti kanyoa jana maana kwake ilikuwa anavizia watu waondoke then ananyemelea alone...Nyie watoto wa mijini MANDE ya kuoga mtaipigia wapi?Wazee wa camp enzi zetu MANDE NDO fasheni wakati wa kuoga