Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Wana JF,
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza kikamilifu. Naombeni mwenye kufahamu sehemu nitakayopata ardhi nzuri yenye rutuba maeneo ya mikoani kwa TZS 30,000 kwa ekari kwa ajili ya kilimo cha vitunguu. Kitu cha kuzingatia ni miundombinu ya uhakika kwa mwaka mzima.
Asanteni wanabodi,
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza kikamilifu. Naombeni mwenye kufahamu sehemu nitakayopata ardhi nzuri yenye rutuba maeneo ya mikoani kwa TZS 30,000 kwa ekari kwa ajili ya kilimo cha vitunguu. Kitu cha kuzingatia ni miundombinu ya uhakika kwa mwaka mzima.
Asanteni wanabodi,