Tz: Taifa la kusikilizia

Watanzania na hasa viongozi wetu tumekumbwaa na ka ugonjwa kabaya sana "KUSIKILIZIA". Ule msemo maarufu "tafakari chukua hatua" is just for jokes kwenye pombe, au kwenye sherehe na sometimes mikwala ili mtoa mkwala aonekane yuko siriaz!

Hebu fikiria:

1. Tuhuma za wiki hii kuhusu Jairo na wizara yake - Jairo "anasikilizia" nini say raisi ataamua, polisi pia "wanasikilizia" wataamrishwa lini ili nao wafanye uchunguzi, Takukuru baada ya kusikilizia kwa mara ya kwanza eti wanachukua hatua ambazo muda si mrefu tutagundua ni bora wangeendelea "kusikilizia".

2. Tatizo la umeme - Wananchi "wanasikilizia" serikali itasema na kuamua nini, Tanesco "wanaisikilizia" wizara na wizara nayo "inasikilizia".

3. Ubadhirifu katika ununuzi wa rada - Pamoja na ushahidi woteunaooonyesha jinsi akina Chenge walivyohusika lakini polisi wetu hawawezi hata kuanza uchunguzi kwa sababu "wanasikilizia", Takukuru wanendelea "kusikilizia" kwa kisingizio walishafanya uchunguzi, DPP "anasikilizia" na sisi wananchi "tunasikilizia".

4. Sakata la Dowans ndiyo usiseme maana hilo hata mkulu alikuwa "anasikilizia"

5. EPA, MEREMETA, KAGODA, DEEP GREEN etc., wahalifu wake "wanasikilizia", Takukuru, DPP wanaendelea "kusikilizia" hata Pinda na JK wanatusikilizia sisi wananchi huku nasi tukiwa "tunaisikilizia" serikali.


Kifupi tumekuwa taifa la kusikilizia, mawaziri wetu wanasikilizia, watendaji wa wizara "wanasikilizia" mamlaka husika "zinasikilizia", wananchi "tunasikilizia". Just for your homework show me a country inayoendesha mambo kwa kusikilizia halafu"ikaendelea". Anywayz watanzania tumeamua kuwa watu wa "kusikilizia" basi tuendelee "kusikilizia" hatustahili kumlaumu mtu kwa sababu "NDIVYO TULIVYO" watu wa "kusikilizia".
Nyambala, nimekusoma, nimecheka asubuhi subuhi hii, nami sasa 'nasikilizia'
 
Nyambala, nimekusoma, nimecheka asubuhi subuhi hii, nami sasa 'nasikilizia'

Ndiyo hivo tena mkuu we si umeona haya masuala ya Jairo yalitokea mkulu akiwa SA. Tukaambiwa yeye ndiye mwenye maamuzi ya mwisho kuhusu hilo sakata maana ndiye mteuzi, ghafla akaibuka Luhanjo na kudai hii iko ndani ya mamlaka yake. Mkulu amerudi zaidi ya wiki 2 sasa kimyaaaaaaa, anasikilizia. Suppose hii ishu ikapamba moto tena ndiyo unakuta msikiliziaji amechomoka huko aliko na kwashangaa watu wake kwa nini wameendelea kusikilizia muda wote huu!!!!!!!
 
Watanzania na hasa viongozi wetu tumekumbwaa na ka ugonjwa kabaya sana "KUSIKILIZIA". Ule msemo maarufu "tafakari chukua hatua" is just for jokes kwenye pombe, au kwenye sherehe na sometimes mikwala ili mtoa mkwala aonekane yuko siriaz!

Hebu fikiria:

1. Tuhuma za wiki hii kuhusu Jairo na wizara yake - Jairo "anasikilizia" nini say raisi ataamua, polisi pia "wanasikilizia" wataamrishwa lini ili nao wafanye uchunguzi, Takukuru baada ya kusikilizia kwa mara ya kwanza eti wanachukua hatua ambazo muda si mrefu tutagundua ni bora wangeendelea "kusikilizia".

2. Tatizo la umeme - Wananchi "wanasikilizia" serikali itasema na kuamua nini, Tanesco "wanaisikilizia" wizara na wizara nayo "inasikilizia".

3. Ubadhirifu katika ununuzi wa rada - Pamoja na ushahidi woteunaooonyesha jinsi akina Chenge walivyohusika lakini polisi wetu hawawezi hata kuanza uchunguzi kwa sababu "wanasikilizia", Takukuru wanendelea "kusikilizia" kwa kisingizio walishafanya uchunguzi, DPP "anasikilizia" na sisi wananchi "tunasikilizia".

4. Sakata la Dowans ndiyo usiseme maana hilo hata mkulu alikuwa "anasikilizia"

5. EPA, MEREMETA, KAGODA, DEEP GREEN etc., wahalifu wake "wanasikilizia", Takukuru, DPP wanaendelea "kusikilizia" hata Pinda na JK wanatusikilizia sisi wananchi huku nasi tukiwa "tunaisikilizia" serikali.


Kifupi tumekuwa taifa la kusikilizia, mawaziri wetu wanasikilizia, watendaji wa wizara "wanasikilizia" mamlaka husika "zinasikilizia", wananchi "tunasikilizia". Just for your homework show me a country inayoendesha mambo kwa kusikilizia halafu"ikaendelea". Anywayz watanzania tumeamua kuwa watu wa "kusikilizia" basi tuendelee "kusikilizia" hatustahili kumlaumu mtu kwa sababu "NDIVYO TULIVYO" watu wa "kusikilizia".

Nilifanya interview pale utumishi 2009 na bado nasikilizia matokeo kwavile bado sijapewa taarifa endapo nimepata kanafasi au nimekosa! Ikiwa wapwa wansikilizia kurudi kwa Jesus zaidi ya miaka 2000 sasa ije kuwa mimi issue ya juzi tu hapa!! NASIKILIZIA!
 
Nilifanya interview pale utumishi 2009 na bado nasikilizia matokeo. Du! Hii nimeipenda, inanikumbusha rafiki yangu mmoja amemaliza T.I.A lakini mpaka leo bado Anasikilizia cheti mwaka sasa, kila akifuatilia anaambiwa vipo kwenye mchakato wanasikilizia hivyo nae aendelee kusikilizia boc wake amemkomalia hamuongezei kitu mpaka apeleke cheti, so ndo hivyo anasikilizia sijui mwisho itakuwaje ngoja tusikilizie!
 
wananchi bado tunasikilizia lini tutaiondoa CCM madarakani....CCM inasikilizia lini itawafukuza mafisadi...
 
Back
Top Bottom