Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Watanzania na hasa viongozi wetu tumekumbwaa na ka ugonjwa kabaya sana "KUSIKILIZIA". Ule msemo maarufu "tafakari chukua hatua" is just for jokes kwenye pombe, au kwenye sherehe na sometimes mikwala ili mtoa mkwala aonekane yuko siriaz!
Hebu fikiria:
1. Tuhuma za wiki hii kuhusu Jairo na wizara yake - Jairo "anasikilizia" nini say raisi ataamua, polisi pia "wanasikilizia" wataamrishwa lini ili nao wafanye uchunguzi, Takukuru baada ya kusikilizia kwa mara ya kwanza eti wanachukua hatua ambazo muda si mrefu tutagundua ni bora wangeendelea "kusikilizia".
2. Tatizo la umeme - Wananchi "wanasikilizia" serikali itasema na kuamua nini, Tanesco "wanaisikilizia" wizara na wizara nayo "inasikilizia".
3. Ubadhirifu katika ununuzi wa rada - Pamoja na ushahidi woteunaooonyesha jinsi akina Chenge walivyohusika lakini polisi wetu hawawezi hata kuanza uchunguzi kwa sababu "wanasikilizia", Takukuru wanendelea "kusikilizia" kwa kisingizio walishafanya uchunguzi, DPP "anasikilizia" na sisi wananchi "tunasikilizia".
4. Sakata la Dowans ndiyo usiseme maana hilo hata mkulu alikuwa "anasikilizia"
5. EPA, MEREMETA, KAGODA, DEEP GREEN etc., wahalifu wake "wanasikilizia", Takukuru, DPP wanaendelea "kusikilizia" hata Pinda na JK wanatusikilizia sisi wananchi huku nasi tukiwa "tunaisikilizia" serikali.
Kifupi tumekuwa taifa la kusikilizia, mawaziri wetu wanasikilizia, watendaji wa wizara "wanasikilizia" mamlaka husika "zinasikilizia", wananchi "tunasikilizia". Just for your homework show me a country inayoendesha mambo kwa kusikilizia halafu"ikaendelea". Anywayz watanzania tumeamua kuwa watu wa "kusikilizia" basi tuendelee "kusikilizia" hatustahili kumlaumu mtu kwa sababu "NDIVYO TULIVYO" watu wa "kusikilizia".
Hebu fikiria:
1. Tuhuma za wiki hii kuhusu Jairo na wizara yake - Jairo "anasikilizia" nini say raisi ataamua, polisi pia "wanasikilizia" wataamrishwa lini ili nao wafanye uchunguzi, Takukuru baada ya kusikilizia kwa mara ya kwanza eti wanachukua hatua ambazo muda si mrefu tutagundua ni bora wangeendelea "kusikilizia".
2. Tatizo la umeme - Wananchi "wanasikilizia" serikali itasema na kuamua nini, Tanesco "wanaisikilizia" wizara na wizara nayo "inasikilizia".
3. Ubadhirifu katika ununuzi wa rada - Pamoja na ushahidi woteunaooonyesha jinsi akina Chenge walivyohusika lakini polisi wetu hawawezi hata kuanza uchunguzi kwa sababu "wanasikilizia", Takukuru wanendelea "kusikilizia" kwa kisingizio walishafanya uchunguzi, DPP "anasikilizia" na sisi wananchi "tunasikilizia".
4. Sakata la Dowans ndiyo usiseme maana hilo hata mkulu alikuwa "anasikilizia"
5. EPA, MEREMETA, KAGODA, DEEP GREEN etc., wahalifu wake "wanasikilizia", Takukuru, DPP wanaendelea "kusikilizia" hata Pinda na JK wanatusikilizia sisi wananchi huku nasi tukiwa "tunaisikilizia" serikali.
Kifupi tumekuwa taifa la kusikilizia, mawaziri wetu wanasikilizia, watendaji wa wizara "wanasikilizia" mamlaka husika "zinasikilizia", wananchi "tunasikilizia". Just for your homework show me a country inayoendesha mambo kwa kusikilizia halafu"ikaendelea". Anywayz watanzania tumeamua kuwa watu wa "kusikilizia" basi tuendelee "kusikilizia" hatustahili kumlaumu mtu kwa sababu "NDIVYO TULIVYO" watu wa "kusikilizia".