Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,127
- 8,155
Binafsi, mimi ni shabiki mkubwa sana wa muziki huu pendwa wa hip-hop. Nime-develop mahaba makubwa na hip-hop since back in days kitambo nikiwa mdogo until to-date, and I will always be in true love with HIP HOP ever! I really enjoy and relax to the fullest whenever I listen to hip hop flovour. During my leisure moments, hip hop comes into my mind forefront!
Lakini kadri siku zinavyosonga na mziki huu kukua ndani ya bongo and beyond, emcees wetu nao wanazidi kwa kasi kudondokea kwenye hii tabia chafu ya uvaaji heleni masikioni utadhani wanawake, na tunakoelekea huko mbeleni nahisi wataanza kubandika na vipini puani.
Frankly speaking, siku ambayo nilikuwa shocked na kugundua kwamba the situation is now getting worse, ni pale nilipomuona PROF JAY (the hip-hop legend mwenye legacy kubwa bongo) nae eti kaanza kuvaa kipini sikioni. Nilishtushwa sana and I was: ''W.T.F. huyu mkongwe nae kaanza swagga hizi???!!!''. Nilishangaa sana coz sikutarajia hip-hop icons wa bongo kama Prof Jay and others waliodumu kwenye game muda mrefu wakicomply with hip-hop code of conduct, leo hii waanze kubana vipini masikioni kama hawa upcoming hip-hop emcees tunaowaona au hawa wabana pua. It is a big shame and very unethical as regards to hip-hop basics!!!
Binafsi, tabia hii inanichefua sana, hasa ninapoona real hip-hop emcee kapigilia vipini masikioni. Wabana pua wao wavae tu kwani sinaga muda wa kuwatazama wala kusikiliza nyimbo zao. But my primary concern ni hawa wasanii wa hip-hop. Na nimekuwa nikijiuliza ni kitu gani kinachowafanya emcees wetu waambukizane hii tabia so rapidly, je ni ulimbukeni wa kuendana na usasa in the entire music industry? au ndo modern hip-hop hiyo? au ni behavioral-change conspiracy yenye back-up from western countries (''the first world'') ili kupenyeza na ku-internalize slowly mikakati yao ya ushoga in Africa? au ni anguko tu la maadili na kuiga mambo yasiyofaa? Mind you that hawa hawa emcees wanaovaa heleni/vipini masikioni, makusudi kabisa jinzi/suruali zao wanazishusha 'kata K' then boxer/chu.pi nje nje (hasa wakati waki-perform kwenye stage). Achilia mbali suala la 'kusuka'.
Tabia hii inatukera sana mafans wa muziki wa hip-hop Tz. Personally inanikera to the fullest.
I genuinely wish something affirmative should be done so that to clear such fishy behavioral atmosphere in hip-hop community ya bongo. Please, hip-hop emcees mnaovaa vipini/heleni, STOP STOP SOTP such d.ump-a.ss swag. Kama hamuwezi kuacha kuvaa heleni, basi just quit the game. Ebu DON'T contaminate our hip-hop music na u-cameroon wenu. HIP HOP is all about community potentials & stability, na sio vinginevyo. Gadem it!!!!
Ila pamoja na hiyo moral decay inayosambaa kwa kasi currently, angalau bado kuna hip-hop emcees baadhi ambao kwakweli sijawahi (mimi binafsi) kuwaona wamevaa heleni/vipini masikioni. Emcees kama SALU-T, BONTA, G-NAKO, NASH MC (na most of wenzake wa Tamaduni), FID Q, CHINDO, KIMBUNGA, KALAPINA (na most of wenzake wa kikosi), IZZO B, etc. Hawa sijawahi kuwaona na heleni/vipini masikioni. I STAND TO BE CORRECTED if proved otherwise!
-Kaveli-
Lakini kadri siku zinavyosonga na mziki huu kukua ndani ya bongo and beyond, emcees wetu nao wanazidi kwa kasi kudondokea kwenye hii tabia chafu ya uvaaji heleni masikioni utadhani wanawake, na tunakoelekea huko mbeleni nahisi wataanza kubandika na vipini puani.
Frankly speaking, siku ambayo nilikuwa shocked na kugundua kwamba the situation is now getting worse, ni pale nilipomuona PROF JAY (the hip-hop legend mwenye legacy kubwa bongo) nae eti kaanza kuvaa kipini sikioni. Nilishtushwa sana and I was: ''W.T.F. huyu mkongwe nae kaanza swagga hizi???!!!''. Nilishangaa sana coz sikutarajia hip-hop icons wa bongo kama Prof Jay and others waliodumu kwenye game muda mrefu wakicomply with hip-hop code of conduct, leo hii waanze kubana vipini masikioni kama hawa upcoming hip-hop emcees tunaowaona au hawa wabana pua. It is a big shame and very unethical as regards to hip-hop basics!!!
Binafsi, tabia hii inanichefua sana, hasa ninapoona real hip-hop emcee kapigilia vipini masikioni. Wabana pua wao wavae tu kwani sinaga muda wa kuwatazama wala kusikiliza nyimbo zao. But my primary concern ni hawa wasanii wa hip-hop. Na nimekuwa nikijiuliza ni kitu gani kinachowafanya emcees wetu waambukizane hii tabia so rapidly, je ni ulimbukeni wa kuendana na usasa in the entire music industry? au ndo modern hip-hop hiyo? au ni behavioral-change conspiracy yenye back-up from western countries (''the first world'') ili kupenyeza na ku-internalize slowly mikakati yao ya ushoga in Africa? au ni anguko tu la maadili na kuiga mambo yasiyofaa? Mind you that hawa hawa emcees wanaovaa heleni/vipini masikioni, makusudi kabisa jinzi/suruali zao wanazishusha 'kata K' then boxer/chu.pi nje nje (hasa wakati waki-perform kwenye stage). Achilia mbali suala la 'kusuka'.
Tabia hii inatukera sana mafans wa muziki wa hip-hop Tz. Personally inanikera to the fullest.
I genuinely wish something affirmative should be done so that to clear such fishy behavioral atmosphere in hip-hop community ya bongo. Please, hip-hop emcees mnaovaa vipini/heleni, STOP STOP SOTP such d.ump-a.ss swag. Kama hamuwezi kuacha kuvaa heleni, basi just quit the game. Ebu DON'T contaminate our hip-hop music na u-cameroon wenu. HIP HOP is all about community potentials & stability, na sio vinginevyo. Gadem it!!!!
Ila pamoja na hiyo moral decay inayosambaa kwa kasi currently, angalau bado kuna hip-hop emcees baadhi ambao kwakweli sijawahi (mimi binafsi) kuwaona wamevaa heleni/vipini masikioni. Emcees kama SALU-T, BONTA, G-NAKO, NASH MC (na most of wenzake wa Tamaduni), FID Q, CHINDO, KIMBUNGA, KALAPINA (na most of wenzake wa kikosi), IZZO B, etc. Hawa sijawahi kuwaona na heleni/vipini masikioni. I STAND TO BE CORRECTED if proved otherwise!
-Kaveli-