Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Ongezea na hii 'najisi si kiingiacho ( mfano kitimoto) bali kitokacho.....'(Jesus).
:A S wink:jMali.........huyo ni Paulo na si Yesu !
Ongezea na hii 'najisi si kiingiacho ( mfano kitimoto) bali kitokacho.....'(Jesus).
Kwanini upate virusi vya ukimwi? Ni bora uletewe vya kuletewa na Mke au mume kuliko kuvitafuta!
Ukipewa ARV feki unapiga kelele? Au unataka muingizaji Wa dawa anyongwe!?
Nani kakuambia kua hizo ni dawa? Dawa ni moja tu ni kuacha ngono Na kutulia na mke au mume!
Mi si mjuzi Wa maandiko bhana! Km hayo masheria yalikuwepo! Binafisi siyapendi na ata Yesu naamini hayapendi hayo masheria ya kuuawana!
Ally Kombo unaipenda sn biblia?
Asante
Ntuzu !......unapataje malaria !?.........je anaye leta cotaxin fake kutoka Nigeria !??:A S wink:
Vipi 'Ebola' ??.......ule ugonjwa unaua mpaka Daktari.
......usikwepe hoja baaana !
Qur'an inatwambia 'yamo baadhi ya maneno' yaliyosalimika ndani ya Biblia !:smiling:
Sheria ya kuua ni ya Mwenyezi Mungu, kama vile yeyote aliyekufuru (kumkanusha Mungu wa Kweli) adhabu yake ni kuwambwa msalabani (na hili ndilo kosa alililo sababisha Yesu kupelekwa kwa Pilato - Charge Sheet)
VERY GRAPHIC!!
Video from the city of Ahwaz in the Khuzestan Province, Iran shows public execution of three people by hanging. Two condemned were men, one was a woman. The three had their hands tied behind their back and were suspended by their necks with a crane. The woman who was in the middle, flanked on both sides by men was struggling the most but after a minute, like her two companions, the wriggling stopped.
As is a tradition in Iran, the execution was carried out in a public place with huge crowd gathered to witness the spectacle. VIDEO
nyoosha sentensi.., imepinda pinda..Watu washenzii na midinh ya kishenzi. Hao washabiki ndio Mungu. Very uncouth. Walaaniwe na vizazi vyao. Eti tuki karne hii. Ujima ntupu. Zanzibar ndii wanataka.
Mkuu KWa hoja ya magonjwa ya kuambukizwa na wadudu au hewa au ya mlipuko Mimi hapo sina hoja!
Wanaoingiza dawa fake kwa magonjwa hayo walaaniwe! Lkn ngoma dawa yke ni kuacha ngono!
Watu washenzii na midinh ya kishenzi. Hao washabiki ndio Mungu. Very uncouth. Walaaniwe na vizazi vyao. Eti tuki karne hii. Ujima ntupu. Zanzibar ndii wanataka.
Mkuu na wewe waamini Yesu alikwenda kwa Pilato!
.........yamo maneno 'yaliyo salimika na ambayo hayakusalimika (chakachuliwa)' !
Qur'an inakataa kuwa Yesu alisulubiwa !.........haikusema kuwa hakufikishwa kwa Pilato !:smiling:
Mkuu Km unakataa Yesu hakusurubishwa utapata vipi ondoleo la dhambi?
.......waliosulubiwa ni wenye laana !..........imo katika kumbukumbu la tourat !:a s wink:
Kama wewe umeondolewa dhambi kwa kusulubiwa yesu, vipi kujenga makanisa na kwenda makanisani ?😛ray:
Kama yesu ni mungu, je, mungu anauliwaje na watu wake ?
Kama yesu ni mwana wa mungu, mungu anamtoaje kafara mwanae kwa ajili ya kufutia watu dhambi, ikiwa uwezo wa kufuta au kutofuta umo mwake ?
.......waliosulubiwa ni wenye laana !..........imo katika kumbukumbu la Tourat !:A S wink:
Kama wewe umeondolewa dhambi kwa kusulubiwa Yesu, vipi kujenga makanisa na kwenda makanisani ?😛ray:
Kama Yesu ni mungu, je, mungu anauliwaje na watu wake ?
Kama yesu ni mwana wa mungu, mungu anamtoaje kafara mwanae kwa ajili ya kufutia watu dhambi, ikiwa uwezo wa kufuta au kutofuta umo mwake ?
out of context..
unaamini mwenyezi mungu ni muweza wa kila kitu?