Two men and a woman hanged in public

Two men and a woman hanged in public

Status
Not open for further replies.
Ukiona sheria ya nchi yako ni kikwazo kwako na hakuna anayekusupport, basi hama tu hiyo nchi, vinginevyo kama unaendelea kukaa katika hiyo nchi huna budi kutii sheria zilizopo, ukijifanya mjuaji na kwenda kinyume, ndo hivyo inakula kwako.

Gudubai wamarehemu, mgelijua hilo mgekua mmehamia bongo land kitambo sana maana huku kwetu hata ukiua kama wewe unavijihela huyoooooo unakatiza mitaa tuuuu hakuna atakayekugusa
 
Safi sana, apo ni disciplene kwa kwenda mbele!
 
Ukiona sheria ya nchi yako ni kikwazo kwako na hakuna anayekusupport, basi hama tu hiyo nchi, vinginevyo kama unaendelea kukaa katika hiyo nchi huna budi kutii sheria zilizopo, ukijifanya mjuaji na kwenda kinyume, ndo hivyo inakula kwako.

Gudubai wamarehemu, mgelijua hilo mgekua mmehamia bongo land kitambo sana maana huku kwetu hata ukiua kama wewe unavijihela huyoooooo unakatiza mitaa tuuuu hakuna atakayekugusa

Ngoja wakuletee mahakama ya kadhi sijui utakimbilia kijiji gani..
 
Ngoja wakuletee mahakama ya kadhi sijui utakimbilia kijiji gani..

We mgala mahakama ya kadhi haikuhusu, hiyo ni kwa ajili ya masuala ya dini ya kiisilamu, na tena inahusu masuala ya mirathi, ndoa na mambo mengine ambayo wewe hayakuhusu, lakini kwa uadilifu unaotokana na mahakama hiyo ninauhakika hata wewe utatamani ujiunge nayo maana pale ni haki khasaaa, hakuna longolongo ya rushwa wala ya kujuana, kwenyewe hata kama kadhi ni mjomba ako haisaidii maana sharia ndio inatumika hapo full uadilifu na haki inapatikana.

Kwakua mimi ni muadilifu siwezi kuikimbia tena naingojea kwa hamu sana ili mambo baina ya waisilamu yafanywe na wao wenyewe. Narudia tena, mahakama ya kadhi haikuhusu na wala haitoingilia masuala yako ya uzinzi, dhulma na kadhalika, wewe utaendelea na mahakama hiyo unayoitumia kuhonga
 
We mgala mahakama ya kadhi haikuhusu, hiyo ni kwa ajili ya masuala ya dini ya kiisilamu, na tena inahusu masuala ya mirathi, ndoa na mambo mengine ambayo wewe hayakuhusu, lakini kwa uadilifu unaotokana na mahakama hiyo ninauhakika hata wewe utatamani ujiunge nayo maana pale ni haki khasaaa, hakuna longolongo ya rushwa wala ya kujuana, kwenyewe hata kama kadhi ni mjomba ako haisaidii maana sharia ndio inatumika hapo full uadilifu na haki inapatikana.

Kwakua mimi ni muadilifu siwezi kuikimbia tena naingojea kwa hamu sana ili mambo baina ya waisilamu yafanywe na wao wenyewe. Narudia tena, mahakama ya kadhi haikuhusu na wala haitoingilia masuala yako ya uzinzi, dhulma na kadhalika, wewe utaendelea na mahakama hiyo unayoitumia kuhonga

Alaah., kumbe ndo hivyo.., basi kaanzisheni hata kesho.., tatizo lenu hamkutuelewesha wenye nchi nini hasa mlitaka kufanya!
 
Satan in control!!!!
VERY GRAPHIC!!

Video from the city of Ahwaz in the Khuzestan Province, Iran shows public execution of three people by hanging. Two condemned were men, one was a woman. The three had their hands tied behind their back and were suspended by their necks with a crane. The woman who was in the middle, flanked on both sides by men was struggling the most but after a minute, like her two companions, the wriggling stopped.

As is a tradition in Iran, the execution was carried out in a public place with huge crowd gathered to witness the spectacle. VIDEO
 
VERY GRAPHIC!!

Video from the city of Ahwaz in the Khuzestan Province, Iran shows public execution of three people by hanging. Two condemned were men, one was a woman. The three had their hands tied behind their back and were suspended by their necks with a crane. The woman who was in the middle, flanked on both sides by men was struggling the most but after a minute, like her two companions, the wriggling stopped.

As is a tradition in Iran, the execution was carried out in a public place with huge crowd gathered to witness the spectacle. VIDEO

nimeiona hii video,wanaosapoti huu unyama ni magaidi.tena kama hukumu imetoka kwa sheria ya kidini basi ni ile dini ya ugaidi
 
Alaah., kumbe ndo hivyo.., basi kaanzisheni hata kesho.., tatizo lenu hamkutuelewesha wenye nchi nini hasa mlitaka kufanya!

Tatizo ni kwamba hamtaki kuelewa na sio kwamba hatukuwaelewesha, kinachowasumbua nahisi itakua ni hiyo MoU. Lengo lenu mnataka nasisi tufanane kama nyinyi kwa kufuata sheria zilizotungwa bila haki na kutulazimisha tuepukane na uadilifu. Basi kama wewe umeelewa, waeleweshe na wenzako waache kushadadia kutokuanzishwa kwa mahakama hiyo.
 
Tatizo ni kwamba hamtaki kuelewa na sio kwamba hatukuwaelewesha, kinachowasumbua nahisi itakua ni hiyo MoU. Lengo lenu mnataka nasisi tufanane kama nyinyi kwa kufuata sheria zilizotungwa bila haki na kutulazimisha tuepukane na uadilifu. Basi kama wewe umeelewa, waeleweshe na wenzako waache kushadadia kutokuanzishwa kwa mahakama hiyo.

Mkuu em' nielewe na mimi.., Kinachopingwa sio mahakama ya kadhi. Bali kinachopingwa ni ile hali ya watu wa taifa moja, wanaoongozwa na serikali moja, kwa bunge moja lenye wabunge waliochaguliwa na wanachi wa dini zote (muslims included..).., bunge hilo ndilo limetunga hizo sheria.., sasa who are you mjiendeshe katika nchi hii kwa sheria zenu kutoka wherever they are coming from..., kwani you think you are so special..? vipi wakija na wahindu, wa buddha, wabahi, na wapagani, mafreemason.., wote hao wakitaka wahukumiwe kwa sheria zao patakalika kweli..???!! em' fikirieni kidogo.., tafadhali sana.
 
Mkuu em' nielewe na mimi.., Kinachopingwa sio mahakama ya kadhi. Bali kinachopingwa ni ile hali ya watu wa taifa moja, wanaoongozwa na serikali moja, kwa bunge moja lenye wabunge waliochaguliwa na wanachi wa dini zote (muslims included..).., bunge hilo ndilo limetunga hizo sheria.., sasa who are you mjiendeshe katika nchi hii kwa sheria zenu kutoka wherever they are coming from..., kwani you think you are so special..? vipi wakija na wahindu, wa buddha, wabahi, na wapagani, mafreemason.., wote hao wakitaka wahukumiwe kwa sheria zao patakalika kweli..???!! em' fikirieni kidogo.., tafadhali sana.

Nimekuelewa, lakini hii mahakama wewe inakua haikuhusu, endapo kutakuwa na kesi baina yangu na yako basi hapo hatuendi kwa kadhi bali tunaenda katika hizi mahakama za kawaida, na endapo nitakuwa na ugomvi na mama watoto wangu ndio nitaenda kwa kadhi tukapate suluhu na si vinginevyo, yani hii mahakama haitoingilia masuala yako kabisaaa na tena itajihusisha na baadhi tu ya mambo katika imani ya kiisilamu kama vile mirathi, ndoa, talaka. Natumai umenielewa
 
Mkuu em' nielewe na mimi.., Kinachopingwa sio mahakama ya kadhi. Bali kinachopingwa ni ile hali ya watu wa taifa moja, wanaoongozwa na serikali moja, kwa bunge moja lenye wabunge waliochaguliwa na wanachi wa dini zote (muslims included..).., bunge hilo ndilo limetunga hizo sheria.., sasa who are you mjiendeshe katika nchi hii kwa sheria zenu kutoka wherever they are coming from..., kwani you think you are so special..? vipi wakija na wahindu, wa buddha, wabahi, na wapagani, mafreemason.., wote hao wakitaka wahukumiwe kwa sheria zao patakalika kweli..???!! em' fikirieni kidogo.., tafadhali sana.

Mkuu Umetoa ufafanuzi mzuri! Yani huu ndio usawa kwa wote Na ndio maana hiyo mahakama serikali imekua haisikilizi kilio cha ndugu zetu!

Wakipewa nafasi ya kua na mahakama Yao ata kwa mambo machache kila Jamii au Kundi linaweza likaja na madai yake ya kutaka mahakama itakuaje hapo!?
 
We mgala mahakama ya kadhi haikuhusu, hiyo ni kwa ajili ya masuala ya dini ya kiisilamu, na tena inahusu masuala ya mirathi, ndoa na mambo mengine ambayo wewe hayakuhusu, lakini kwa uadilifu unaotokana na mahakama hiyo ninauhakika hata wewe utatamani ujiunge nayo maana pale ni haki khasaaa, hakuna longolongo ya rushwa wala ya kujuana, kwenyewe hata kama kadhi ni mjomba ako haisaidii maana sharia ndio inatumika hapo full uadilifu na haki inapatikana.

Kwakua mimi ni muadilifu siwezi kuikimbia tena naingojea kwa hamu sana ili mambo baina ya waisilamu yafanywe na wao wenyewe. Narudia tena, mahakama ya kadhi haikuhusu na wala haitoingilia masuala yako ya uzinzi, dhulma na kadhalika, wewe utaendelea na mahakama hiyo unayoitumia kuhonga


Mkuu rushwa ilikuwepo tangu Enzi za manabii na mitumu sembuse kwa binadamu Wa Leo?
 
Mkuu rushwa ilikuwepo tangu Enzi za manabii na mitumu sembuse kwa binadamu Wa Leo?

Sawa ilikuwepo lakini je ni halali? Ntuzu tusichukulie tu kuwa kwamba kwakua ilikuwepo tangu enzi za manabii basi ni halali, hapana.
 
Sawa ilikuwepo lakini je ni halali? Ntuzu tusichukulie tu kuwa kwamba kwakua ilikuwepo tangu enzi za manabii basi ni halali, hapana.

Si halali! Ila tusiseme kua kwasababu ikija mahakama ya kadhi basi rushwa itakua Hakuna! No! Hii rushwa ipo kitambo na inamizizi kwa wanadamu wasiokua na hofu na Mungu!
 
Sawa ilikuwepo lakini je ni halali? Ntuzu tusichukulie tu kuwa kwamba kwakua ilikuwepo tangu enzi za manabii basi ni halali, hapana.

Kwa hiyo unataka kusema with 100% surety kwamba hao watakao pewa dhamana ya kuendesha hizo mahakama hawatakula rushwa.., kwani wao ni malaika..?
 
Kwa hiyo unataka kusema with 100% surety kwamba hao watakao pewa dhamana ya kuendesha hizo mahakama hawatakula rushwa.., kwani wao ni malaika..?

Endapo waisilamu watapewa hiyo haki na wapewe ruhusa ya kuchagua makadhi wao kwa vigezo vya dini yao ninaimani hakutakuwa na masuala ya rusha, isijekuwa wakaruhusiwa kuwa na hizo mahakama lakini halafu makadhi wateuliwe na serikali, hapo ndio kidogo itakua ngumu
 
Adhabu nzuri sana hasa kwa mafisadi, wahujumu uchumi na wanao toka na wake za watu
 
This has something to do with their religion. They're all sons and daughters of evil spirit.

An eye for an eye, hapa kuchomana na matairi unaona sawa eti, MTU kuiba yeboyebo auwawe kwa tofali rukhsa eee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom