Two men and a woman hanged in public

Two men and a woman hanged in public

Status
Not open for further replies.
Hivi tunaongea kweli haya, hizo Ni sheria za nchi mnakurupuka mkiambiwa walichofanya mtasema aaaah na wauwawe tunajijua wana ndugu.
Let me tell u a story happened here, kuna mzee aliomba waumini wamuombee mtt wake afe, watu looo mzee vipi huyu? Baada ya kuwaambia mtt alichokifanya wakabadili kauli hapo hapo,, , na AFEEE
 
Binadamu nafiki sna. Hebu tuwaache watu na imani zao. Mimi hii adhabu naiunga mkono kwa majizi ya nchi, type ya viongozi wetu.
Ila siungi mkono itumike kwa watu wanaofanya eti uzinzi. Si busara. Ila kwa wahujumu uchumi absolutely correct.
 
Hivi tunaongea kweli haya, hizo Ni sheria za nchi mnakurupuka mkiambiwa walichofanya mtasema aaaah na wauwawe tunajijua wana ndugu.
Let me tell u a story happened here, kuna mzee aliomba waumini wamuombee mtt wake afe, watu looo mzee vipi huyu? Baada ya kuwaambia mtt alichokifanya wakabadili kauli hapo hapo,, , na AFEEE

Whatever the case.., imeagizwa.., thou shalt not kill...
 
these people are satanic,that's why i hate their religion.too barbaric!!!

HAPA KWENU HUKUMU YA KIFO MLIIFUTA !?...........IMAGINE MAFISADI WA HAPA KINGEWAKUTA HIKI, KUNA MTU ANGEIBA ?
NDIO MAANA BILA SHAKA WEZI WAKUBWA, WAZINIFU NA WATENDA DHULMA NI WA KUTOKA "DINI YENU" 😛ray:
 
Binadamu nafiki sna. Hebu tuwaache watu na imani zao. Mimi hii adhabu naiunga mkono kwa majizi ya nchi, type ya viongozi wetu.
Ila siungi mkono itumike kwa watu wanaofanya eti uzinzi. Si busara. Ila kwa wahujumu uchumi absolutely correct.

imagine, ingekuwa adhabu ndio hiyo !.......Babu na Mchumbake, Kiongozi wa Upinzani na Rafiki yake kule Dubai, Mzee Prof Kapuyanga !:rip::rip::rip::rip:
 
Ngoja wakuletee mahakama ya kadhi sijui utakimbilia kijiji gani..

Hiyo si shughuli ya Mahakama ya Kadhi !..........maana iko Kenya, Zanzibar na pia Uganda.
Mahakama ya Kadhi ni kiboko kwa wanawake wanao zaa kwa promotion (nje ya ndoa)
 
Alaah., kumbe ndo hivyo.., basi kaanzisheni hata kesho.., tatizo lenu hamkutuelewesha wenye nchi nini hasa mlitaka kufanya!

............unaonaje tuilete na Mahakama ya kuhukumu wazinifu, wala rushwa, mafisadi na wahujumu uchumi !?:smiling:
Maana Wachina wamejaribu.........ukibaka mwanamke unakula kitanzi, rushwa unakula kitanzi, madawa ya kulevya unakula kitanzi !
 
This has something to do with their religion. They're all sons and daughters of evil spirit.

Mbona wale jamaa walimtundika mungu wako msalabani mbele ya hadhara mahali panaitwa Golgotha !......vipi na hili limo kwenye Dini yenu !?😛ray:
 
Mkuu ni sawa! Lkn adhabu ikitolewa tunategemea mtu kujifunza kutokana na hiyo adhabu! Sasa mtu amenyongwa atajifunza nini na wakati amekufa? Tena wakati mwingine wanapoenda kutekeleza hiyo hukumu Yule mshitakiwa anakua hana wasiwasi Wala hajutii hiyo hukumu! Na wengine hua wanaomba kunyongwa wenyewe!

Ni bora Wangekua wanawafunga maisha au miaka 30 ivi!

Unajua nini kuhusu watu wa Nuhu AS, Musa AS na Firaun, watu wa Lut'i !!?,,,,,,,,,,walipewa nafasi ya kujifunza ?
 
Mkuu mi sijui kitu! Labda unisaidie wewe!

oooh...! Hivi visa vimo katika Tourat ya Musa ! (iliyomo ndani ya Biblia)......soma uone hukumu yao ?
Yesu alisulubiwa pamoja na watu wawili pembeni, je wale watu walikuwa na makosa gani ? (Majibu yamo katika Injil ya Matayo na Yohana)
 
oooh...! Hivi visa vimo katika Tourat ya Musa ! (iliyomo ndani ya Biblia)......soma uone hukumu yao ?
Yesu alisulubiwa pamoja na watu wawili pembeni, je wale watu walikuwa na makosa gani ? (Majibu yamo katika Injil ya Matayo na Yohana)


Mi si mjuzi Wa maandiko bhana! Km hayo masheria yalikuwepo! Binafisi siyapendi na ata Yesu naamini hayapendi hayo masheria ya kuuawana!
Ally Kombo unaipenda sn biblia?

Asante
 
..........hao watakaopewa dawa fake watapata nafuu au atawarakishia kifo ?!!!😛ray:


Kwanini upate virusi vya ukimwi? Ni bora uletewe vya kuletewa na Mke au mume kuliko kuvitafuta!

Ukipewa ARV feki unapiga kelele? Au unataka muingizaji Wa dawa anyongwe!?

Nani kakuambia kua hizo ni dawa? Dawa ni moja tu ni kuacha ngono Na kutulia na mke au mume!
 
Imeandikwa 'jicho kwa jicho'...........jino kwa jino !
Sikuja kuitengua Tourat wala Manabii...........(Jesus)😛ray:

Ongezea na hii 'najisi si kiingiacho ( mfano kitimoto) bali kitokacho.....'(Jesus).
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom