Abubakari Mussa
Senior Member
- Mar 26, 2020
- 129
- 197
uyu aliye ruhusiwa kula mchana ni kwasababu amekonda au ni kwasababu ni mwembamba?X unaweza kupost mambo yako nzuri ukaambuliaa kua comedy 😅😅😅
Vipi mdau wewe umeona jibu gani la utani likajuvunja mbavu?
Tupia kwa replies
X unaweza kupost mambo yako nzuri ukaambuliaa kua comedy 😅😅😅
Vipi mdau wewe umeona jibu gani la utani likajuvunja mbavu?
Tupia kwa replies
😀😀😀😀😀😀😀X unaweza kupost mambo yako nzuri ukaambuliaa kua comedy 😅😅😅
Vipi mdau wewe umeona jibu gani la utani likajuvunja mbavu?
Tupia kwa replies
😀😀😀😀😀😀😀
Amekondauyu aliye ruhusiwa kula mchana ni kwasababu amekonda au ni kwasababu ni mwembamba?
Anasura ya mvuta bange😊Amekonda
Watu wanazingua sana 😅😅Daaa nimecheka sana kwamba atatu convice vip hanuki mdomo mwamba
😅😅😅Mimi hapo Kwenye Kati ya bustani ya shule na yeye Nani alikua anakaa nje😂😂😂😂
Mimi hapo Kwenye Kati ya bustani ya shule na yeye Nani alikua anakaa nje😂😂😂😂
Tanzania, inawatu wenye uwezo mkubwa sana kuleta burudani mtandaoniDaaa nimecheka sana kwamba atatu convice vip hanuki mdomo mwamba
KabisaTanzania, inawatu wenye uwezo mkubwa sana kuleta burudani mtandaoni
Huyu kakonda. Angalia viwiko hivyo na shingoniuyu aliye ruhusiwa kula mchana ni kwasababu amekonda au ni kwasababu ni mwembamba?
Dah 😂Daaa nimecheka sana kwamba atatu convice vip hanuki mdomo mwamba