Kocha Boniface Mkwasa alisema kule Ethiopia walifanyiwa hujuma ndio maana wakafungwa.Vipi leo kunani tena?
tumuombe mola kwani mpira dak 90
Dua zimekataliwa, tumepigwa 1-0.
Kama ni kweli bac ni muda muafaka kwa Boniface Kuachia wengine wafanye hiyo kazi, maana kwa miaka mingi kaangaika na hiyo timu na inaonekana keshamaliza ujuzi wake wote na hakuna Jipya, hivyo awapishe wengine
Nyie TFF, mpeni KAIJAGE hii twiga staz. Mkwasa hana jipya. watoto hawana hata stamina!. Walielemewa muda mwingi yeye anashika kiuno tu!. ile fullbeki yetu ya kulia leo ilipwaya sana. Nawashauri Tuanzishe ligi za soka la kinadada huko mikoani ili hawa wachezaji wawe fiti muda mwingi na sio kufanya mazoezi ya wiki mbili kwa kushiriki mashindano makubwa kama haya.