Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,200
- 5,553
Hii ndio athari ya viongozi kufanya kazi ili wakimbilie kupost mitandaoni. Sasa hapo Twiga ni yupi na wanyama wengine ni wapi?? Anyway, mi nishamuona twiga. [HASHTAG]#TwigaWakilaUpepoZiwani[/HASHTAG] [HASHTAG]#TwigaNaWanyamaWengine[/HASHTAG] [HASHTAG]#UtaliiWapicha[/HASHTAG] [HASHTAG]#AlbadirInafanyaKazi[/HASHTAG]