Complicator EM
Senior Member
- Dec 20, 2011
- 155
- 39
Jamani tumekuwa wepesi wa kusaidiana pale mtu anapoleta suala lake humu, mm nimepost thread kama tatu humu leo nikieleza namna ambavyo maisha yamenikaba nashangaa leo kila mtu yuko kimya naombeni hata mwenya kitu cha M-pesa, tigo-pesa au Airtel money anidondoshee hata kifaru hapa, yaani t sijapiga, lunch ndo kama hivyo tena hata mwelekeo siuoni , Dinner ndo sijaanza hata kufikiria.