nasikitika kuona kiongozi anaumwa maralia anapelekwa india kufanyiwa matibabu hivi wanapelekwaga kweli huko india au wanatuzuga halafu huu mchezo wa kuwaandama viongozi wanaopigania haki ya raia kunyamazishwa kufanyiwa vibaya sio haki kabisa
Nilikuwa napita tu, baada ya kuwatathmini wote kuanzia mleta mada na walioitikia, nimeona niondoke, ngoja niwaache mujibazane wenyewe kwa wenyewe, ngoma inogile. JF bwana!!!!!
Nilikuwa napita tu, baada ya kuwatathmini wote kuanzia mleta mada na walioitikia, nimeona niondoke, ngoja niwaache mujibazane wenyewe kwa wenyewe, ngoma inogile. JF bwana!!!!!