Tweet hii ya Nape imekuja Wakati mbaya

Tweet hii ya Nape imekuja Wakati mbaya

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,493
Reaction score
2,366
Nape anaandika tweet hii kipindi ambacho mabenki yamefungwa na mengine yako mbioni kufungwa kutokana na kufirisika kimtaji. Katika wakati huu wengi wanalia kwa kuwa hili, limekuwa ni pigo kwao.

Mama mmoja kwa uchungu nasema,
yeye aliwekeza pesa zake kwenye benki hiyo kwa sababu aliamini ni Benki ya wananchi na ni sehemu salama kuweka pesa zake na hivyo taarifa ya kufungiwa ameipokea kwa masikitiko makubwa.
“Nimeweka pesa nyingi, ada za watoto zote nilikuwa nimeweka huku, hata Jumatatu sina ada ya kuwapeleka wanangu shule, nina watoto wa chuo na wa shule za English medium, sina hata senti tano na ndani nia shilingi Elfu ishirini tu.” – Elizabeth Munish

WAKATI HUO HUO NAPE NAYE ANASEMA,

Screenshot_20180107-181733.png




Kwa mtazamo wangu hata kama Nape hakulenga hili inapelekea sisi kuhisi kalenga hili
 
Hapo anawaambia bashite na baba yake watubu na kuacha maovu ili wakifa wapokelewe
 
Nape anaandika tweet hii kipindi ambacho mabenki yamefungwa na mengine yako mbioni kufungwa kutokana na kufirisika kimtaji. Katika wakati huu wengi wanalia kwa kuwa hili, limekuwa ni pigo kwao.

Mama mmoja kwa uchungu nasema,
yeye aliwekeza pesa zake kwenye benki hiyo kwa sababu aliamini ni Benki ya wananchi na ni sehemu salama kuweka pesa zake na hivyo taarifa ya kufungiwa ameipokea kwa masikitiko makubwa.
“Nimeweka pesa nyingi, ada za watoto zote nilikuwa nimeweka huku, hata Jumatatu sina ada ya kuwapeleka wanangu shule, nina watoto wa chuo na wa shule za English medium, sina hata senti tano na ndani nia shilingi Elfu ishirini tu.” – Elizabeth Munish

WAKATI HUO HUO NAPE NAYE ANASEMA,

View attachment 670316



Kwa mtazamo wangu hata kama Nape hakulenga hili inapelekea sisi kuhisi kalenga hili
Duh!! BOT kwa hili wamekurupuka asee wangetoa Order kwa wenye pesa benki watoe kwanza ndo zifungwe
 
Back
Top Bottom