Twaweza fanyeni utafiti kugundua ni viwanda vingapi vimejengwa awamu hii, na vingapi vimekufa.

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,654
Hiz tafiti cjui Magufuli anapendwa na nani cjui hpendwi na nani, hazina msaada wwte katika maendeleo ya nchi hii. Tunataka tafiti zenye tija.

Tunahitaji tujue ni viwanda vingapi vimejengwa, vinaingiza kiasi gani katika pato la taifa. Na vingapi vimekufa awamu hii na vimepunguza pato la taifa kiasi gani.

Huu utafiti utatusaidia kma kweli tutahitaji kujiunga kutoa support kwa mkuluu na legacy yake ya viwanda.
 
Mi sijaona kiwanda kilichojengwa ila kuna karakana tu. Kuna karakana ya kutengeneza chaki ndo naonaga kinachopigiwa kelele kila siku ndo chenyewe. Huwa najiuliza sana dunia ya sasa hivi kma mtoto wangu anafundishwa na billboard na marker pen sasa hizo chaki naona wanapoteza muda japokuwa tunaambiwa viwanda 3306 vishajengwa lakini saba saba nashangaa sikuona bidhaa ila ilikuwa Tamsha kama la kariakoo
 
Hiz tafiti cjui Magufuli anapendwa na nani cjui hpendwi na nani, hazina msaada wwte katika maendeleo ya nchi hii. Tunataka tafiti zenye tija.

Tunahitaji tujue ni viwanda vingapi vimejengwa, vinaingiza kiasi gani katika pato la taifa. Na vingapi vimekufa awamu hii na vimepunguza pato la taifa kiasi gani.

Huu utafiti utatusaidia kma kweli tutahitaji kujiunga kutoa support kwa mkuluu na legacy yake ya viwanda.
Lazima watapotezwa
 
Saiv hama hama ndio ajenda kuu,ile ya viwanda ilikuwa ni porojo tu.
 
Wangeanza Kwa kutuambia ilikuaje baadhi ya vyama viliteua Wagombea wanaonunulika Kama Mbege
 
Wangeanza Kwa kutuambia ilikuaje baadhi ya vyama viliteua Wagombea wanaonunulika Kama Mbege

Magufuli mwenyewe kashanunuliwa na Acacia. Noah zetu tuliishia zisikizia mitandaon. Hata upfroat holaaaaa. Maknikia yalshasepa.

Ni hivi, ...Everybody has a price!. Hta ambao hwajanunulika jua dau halijafikiwa. Ila litafikiwa tu.


Na mwisho wa siku report ya mkakuzi wa mahesabu inatoka matrillion hamjui yameenda wapi.
 
Kiwanda funga kazi kinaitwa "KUUNGA MKONO JUHUDI ZA DIKTETA" hicho kiwanda ni hatari ndo cha 3306 hicho aisee si mchezoo
 
Kiwanda funga kazi kinaitwa "KUUNGA MKONO JUHUDI ZA DIKTETA" hicho kiwanda ni hatari ndo cha 3306 hicho aisee si mchezoo
Alfu naona wasomi wengi ndyo wamekuwa wafanyakazi katika hiki kiwada. Yan wasomi wanamegundua hii mbinu mpya ya kula na kipfu..
 
Wanachotakiwa kufanya sasa ni kumpaisha Magu.. Wafanye utafiti juu ya kukubalika kwake na wampe asimia 99...

kinyume na hapo ni kuwatakia kifo...
 
Hiz tafiti cjui Magufuli anapendwa na nani cjui hpendwi na nani, hazina msaada wwte katika maendeleo ya nchi hii. Tunataka tafiti zenye tija.

Tunahitaji tujue ni viwanda vingapi vimejengwa, vinaingiza kiasi gani katika pato la taifa. Na vingapi vimekufa awamu hii na vimepunguza pato la taifa kiasi gani.

Huu utafiti utatusaidia kma kweli tutahitaji kujiunga kutoa support kwa mkuluu na legacy yake ya viwanda.
Ohooooo.....wewe sasa huwatakii mema kabisa. Sasa wakifanya huo utafiti halafu waje na matokeo "mabaya" hiyo taasisi si itafutwa kabisa na wafanyakazi wao wote kuwekwa korokoroni....!
 
Ohooooo.....wewe sasa huwatakii mema kabisa. Sasa wakifanya huo utafiti halafu waje na matokeo "mabaya" hiyo taasisi si itafutwa kabisa na wafanyakazi wao wote kuwekwa korokoroni....!
Kwann unafikiria matokeo mbya tu. Kwan c viwanda vinajengwa kwa kasi ya hapa kazi tu!!
 
Back
Top Bottom