Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,007
- 9,873
Leo kama kawa nitakuwa nawaletea updates za pambano hili ambalo kimsingi mmoja ataondoka na gari. Aidha kutakuwa na mapambano kadhaa ya utangulizi.
===
TWAHA KIDUKU AMTWANGA DULLAH MBABE, AJINYAKULIA GARI
Bondia Twaha Lubaha maarufu Twaha Kiduku amejinyakulia gari baada ya kumtwanga Abdallah Pazi maarufu Dullah Mbabe. Lilikuwa pambano la round 10 na Twaha ameshinda kwa pointi
Pambano ni la marudio baada ya Dullah kuona alipigwa kwa bahati mbaya Morogoro
===
TWAHA KIDUKU AMTWANGA DULLAH MBABE, AJINYAKULIA GARI
Bondia Twaha Lubaha maarufu Twaha Kiduku amejinyakulia gari baada ya kumtwanga Abdallah Pazi maarufu Dullah Mbabe. Lilikuwa pambano la round 10 na Twaha ameshinda kwa pointi
Pambano ni la marudio baada ya Dullah kuona alipigwa kwa bahati mbaya Morogoro