Tv's screens OLED, QLED, LED & LCD

Tv's screens OLED, QLED, LED & LCD

GoldenDude

Member
Joined
Jan 14, 2021
Posts
19
Reaction score
14
Kwa Tv's nzri inashauriwa ununue OLED,

Humu JF watu wengi wanaomba ushauri kuhusu TV gani nzri, wanaelekezwa nunua LG, sumsung, TCL, hisense, Sony even if zinatumia teknolojia ya LED ambayo sio bora kwani uwezi pata parfect black, saturation nzri, high viewing angle na n.k

Hivyo ukinunua boss, oiling, Sony, lg kama zote ni LED akuna utofauti.

Mwenye elimu zaidi atusaidie hapa
 
Kwa hizo tech ulizotaja Oled ni nzuri zaidi ikifuatiwa na Qled, led kisha Lcd ya kawaida Tuki assume mambo mengine yapo sawa.

TV ambayo Sony mwenyewe katengeneza panel yake hata kama ni Led itakuwa nzuri kuliko Boss ama Oiling na wa China wengine. Unaweza kuta Panel ya kampuni kubwa ni Lcd lakini I najitahidi kwenye contrast, black nzuri.

Tatizo moja siku hizi ni kwamba haya makampuni makubwa Yana outsource vifaa vyao vya bei rahisi, unakuta TV za Sony ama Samsung za bei rahisi rahisi zimetengenezwa tu huko China na kampuni nyengine zikabandikwa logo ya Samsung au Sony, kwa situation kama Hii unaweza kuta mchina Na kina Sony quality ikawa Sawa.

Hivyo ukitaka kupata ile TV quality inabidi mfuko uwe vizuri pia, kuna Tech mpya inakuja inaitwa Micro led ambayo itakuwa nzuri kushinda oled, pengine ikija Oled itashuka bei.
 
Kwa hizo tech ulizotaja Oled ni nzuri zaidi ikifuatiwa na Qled, led kisha Lcd ya kawaida Tuki assume mambo mengine yapo sawa.

TV ambayo Sony mwenyewe katengeneza panel yake hata kama ni Led itakuwa nzuri kuliko Boss ama Oiling na wa China wengine. Unaweza kuta Panel ya kampuni kubwa ni Lcd lakini I najitahidi kwenye contrast, black nzuri.

Tatizo moja siku hizi ni kwamba haya makampuni makubwa Yana outsource vifaa vyao vya bei rahisi, unakuta TV za Sony ama Samsung za bei rahisi rahisi zimetengenezwa tu huko China na kampuni nyengine zikabandikwa logo ya Samsung au Sony, kwa situation kama Hii unaweza kuta mchina Na kina Sony quality ikawa Sawa.

Hivyo ukitaka kupata ile TV quality inabidi mfuko uwe vizuri pia, kuna Tech mpya inakuja inaitwa Micro led ambayo itakuwa nzuri kushinda oled, pengine ikija Oled itashuka bei.
Mkuu embu toa ushauri,

Kwa tv za Samsung au Sony, iwe inc 43 au 49 kama ni genuine kwa Dar inapatikana kwa bei gani na maduka yapi?. Pia iwe Smart TV na 4K

Najua mambo ya Oled au Qled sitayaweza. Pia nimekuwa suprised kuona samsung curve tv bei imekuwa chini sana kwa matoleo ya mwaka 2019. Au ni kwa vile hii technology ya curve tv's imekuwa abandoned na manufacturers wengi including Samsung wenyewe?
 
Mkuu embu toa ushauri,

Kwa tv za Samsung au Sony, iwe inc 43 au 49 kama ni genuine kwa Dar inapatikana kwa bei gani na maduka yapi?. Pia iwe Smart TV na 4K

Najua mambo ya Oled au Qled sitayaweza. Pia nimekuwa suprised kuona samsung curve tv bei imekuwa chini sana kwa matoleo ya mwaka 2019. Au ni kwa vile hii technology ya curve tv's imekuwa abandoned na manufacturers wengi including Samsung wenyewe?
Curved mkuu ina advantage yake ni disadvantage.

Ukiwa wewe ndio center of position umekaa katikati na yenyewe imekuzunguka inaondoa hata uhitaji wa multi tv/monitor.

Ila kama sebule kubwa ukuta mpana TV ndogo watu wa pembeni hawaoni vizuri kama wa katikati. Hivyo itatafuta niche yake kwenye TV na monitor.

Kuhusu bei mkuu around 1.2m hivi kwa hio UHD na 1m hivi kwa FHD hii inch 49. Za 43 kama 1m to 1.1m UHD na FHD ni around 800k mpaka 1m hv.

Maduka anza na jmall pale ndio ninafahamu ni MA agent, pia kkoo Angalia maduka makubwa ya Uhuru ambao ni verified MA Agent wa Samsung.

Kuhusu Sony sidhani kama official wapo Tanzania.
 
Kwa hizo tech ulizotaja Oled ni nzuri zaidi ikifuatiwa na Qled, led kisha Lcd ya kawaida Tuki assume mambo mengine yapo sawa.

TV ambayo Sony mwenyewe katengeneza panel yake hata kama ni Led itakuwa nzuri kuliko Boss ama Oiling na wa China wengine. Unaweza kuta Panel ya kampuni kubwa ni Lcd lakini I najitahidi kwenye contrast, black nzuri.

Tatizo moja siku hizi ni kwamba haya makampuni makubwa Yana outsource vifaa vyao vya bei rahisi, unakuta TV za Sony ama Samsung za bei rahisi rahisi zimetengenezwa tu huko China na kampuni nyengine zikabandikwa logo ya Samsung au Sony, kwa situation kama Hii unaweza kuta mchina Na kina Sony quality ikawa Sawa.

Hivyo ukitaka kupata ile TV quality inabidi mfuko uwe vizuri pia, kuna Tech mpya inakuja inaitwa Micro led ambayo itakuwa nzuri kushinda oled, pengine ikija Oled itashuka bei.
Sasa chief nawezaje kutambua kuwa hii tv ni oled tv? Nipe uzoefu kaka
 
Sasa chief nawezaje kutambua kuwa hii tv ni oled tv? Nipe uzoefu kaka
Una display kitu cheusi tii screen nzima then unazima taa, oled itakua kama imezimwa.

Pia hata kama screen nzima ha itakua nyeusi ukiplay tu kitu cheusi baina ya oled na lcd unajua kama hii video.


View: https://m.youtube.com/watch?v=3epV6FiCJbk

Oled nyeusi inakua nyeusi kweli na lcd inakuwa kama dark gray.
 
Back
Top Bottom