MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 254
Nilikuwa naangalia mawaidha ya ijumaa tv zanzibar yaliyorekodiwa mwaka 2008 saa 8 mchana wa leo. Sina matatizo na mawaidha yenyewe ila ujumbe mmoja ni kuwa mataifa ya kiislam hayana ikimwi kama mengine.na zaidi anasema zanzibar mnajionea wenyewe sisi waislam tupo safi kiliko Tanzania bara.Sababu Zanzibar ni ya kiislam.
Ujumbe kama huu jamii nyingine inapondwa moja kwa moja na sijui kama ni msingi mzuri wa kujenga kielewana.
Elekezeni nafsi kwenda kwa muumba kiliko kulinganisha uasi na mazingira.
Naogopa
Ujumbe kama huu jamii nyingine inapondwa moja kwa moja na sijui kama ni msingi mzuri wa kujenga kielewana.
Elekezeni nafsi kwenda kwa muumba kiliko kulinganisha uasi na mazingira.
Naogopa