TV yangu imeleta rangi hii jee nifanyeje?

TV yangu imeleta rangi hii jee nifanyeje?

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,607
Reaction score
4,766
Tv yangu nilihama nayo toka nimehamia huku imeleta mistari mekundu kwa pembeni ya kioo
Nifanyeje wakuu irudi kawaida???
IMG_20180625_192714.jpg
 
mkuu tafuta sumaku,hasa ya spika halafu ipitishe juu juu inatakasika,unaipitisha juu ya screen taratibu,usisogeze sana karibia na kioo,inatakasika fasta tu,ila hata hivyo tafuta pesa ununue tv,hiyo mali ni ya kizamani na low quality mno mkuu..
 
mkuu tafuta sumaku,hasa ya spika halafu ipitishe juu juu inatakasika,unaipitisha juu ya screen taratibu,usisogeze sana karibia na kioo,inatakasika fasta tu,ila hata hivyo tafuta pesa ununue tv,hiyo mali ni ya kizamani na low quality mno mkuu..
JamiiForum bwana!
 
mkuu tafuta sumaku,hasa ya spika halafu ipitishe juu juu inatakasika,unaipitisha juu ya screen taratibu,usisogeze sana karibia na kioo,inatakasika fasta tu,ila hata hivyo tafuta pesa ununue tv,hiyo mali ni ya kizamani na low quality mno mkuu..
nilidoea sana misosi ya watu enzi zangu najifanya fundi tv kutoa marangi hayo kwa sumaku na ku search station za tv, kurekebisha antena za chadema... daah! analojia bana
 
mkuu tafuta sumaku,hasa ya spika halafu ipitishe juu juu inatakasika,unaipitisha juu ya screen taratibu,usisogeze sana karibia na kioo,inatakasika fasta tu,ila hata hivyo tafuta pesa ununue tv,hiyo mali ni ya kizamani na low quality mno mkuu..
Realy???
 
mkuu tafuta sumaku,hasa ya spika halafu ipitishe juu juu inatakasika,unaipitisha juu ya screen taratibu,usisogeze sana karibia na kioo,inatakasika fasta tu,ila hata hivyo tafuta pesa ununue tv,hiyo mali ni ya kizamani na low quality mno mkuu..
Kivipi mkuu bado cjakusoma
 
Mnajifanya mna flat oooh kumbe hamna lolote ingekua mna flat mngelalamikia mb kupunguzwa???wabongo bana
Katika 100% wenye tv 5% tu ya watz ndo wenye flat halaf mtu anakuja kunibania pua hapa "eti hzo tv zinatumikaga"
Unaongea kwa kubana pua wakati hata kitanda huna unaishi kwa dada yako unakula na kulala poor you
 
Hahaaa inabidi nicheke kama mazuri hiyo tv kiwango duni mnoo jipige pige bas mzee baba ununue hata ya laki tatu
Unaongea kwa dharau wakat hapo unatumia kitecno cha y6 hahaha wabongo bhana
 
mkuu tafuta sumaku,hasa ya spika halafu ipitishe juu juu inatakasika,unaipitisha juu ya screen taratibu,usisogeze sana karibia na kioo,inatakasika fasta tu,ila hata hivyo tafuta pesa ununue tv,hiyo mali ni ya kizamani na low quality mno mkuu..
Mkuu, hyo sumaku utapitishapitisha juu wakati screen iko ON au OFF..?
 
Back
Top Bottom