bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
Pole mkuu. Tatizo ni brand name tu.Poleni na mjukumu
Nimeiwasha tv wakati naamka nikaona inaonyesha mwanga kwa mbali sana kwenye kioo na maneno ya kampuni ya tv yanasomeka kwa mbali tatizo ni nini?
Tv aina ya Homebase ina miaka 3.
Natanguliza shukrani.
AhsantePole mkuu. Tatizo ni brand name tu.
Hapo mwendo umeisha.
Pole mkuu, hapo itakuwa mikanda ya taa(LED strips) imeungua ndani ya tv yako.Poleni na mjukumu
Nimeiwasha tv wakati naamka nikaona inaonyesha mwanga kwa mbali sana kwenye kioo na maneno ya kampuni ya tv yanasomeka kwa mbali tatizo ni nini?
Tv aina ya Homebase ina miaka 3.
Natanguliza shukrani.
Gharama yake itakuwa shingapiPeleka kwa fundi akubadilishie. FBT . Tatizo litakua limekwisha.
Nishasahau nilitengeneza shi ngapi maana kitambo kidogo. ila gharama sio kubwa kivilee.Gharama yake itakuwa shingapi
Ahsante mkuu!Usiwaze mkuu hiyo imeua taa au kwa lugha yake led light zimekufa
Ahsante kiongoziNishasahau nilitengeneza shi ngapi maana kitambo kidogo. ila gharama sio kubwa kivilee.
Ni kweli wakuu,Kesho naleta mrejesho hapa
Pole mkuu. Tatizo ni brand name tu.
Hapo mwendo umeisha.
nimenunu taa zote 12 ingawa iliungua moja.Natumea mleta mada umepata muongozo...
Kama ni flat tvPoleni na majukumu
Nimeiwasha tv wakati naamka nikaona inaonesha mwanga kwa mbali sana kwenye kioo na maneno ya kampuni ya tv yanasomeka kwa mbali tatizo ni nini?
Tv aina ya Homebase ina miaka 3.
Natanguliza shukrani.