TV Talk Show Ya "Tatizo La Madawa Ya Kulevya Na Ufumbuzi Wake" 24th Nov 2013

Jul 14, 2008
1,820
1,031
Tunapenda kutoa mwaliko kwa wageni 20 tu watakaohudhuria katika kipindi kipya kitakachorushwa TBC1. Wageni lazima wawe wameguswa sana na tatizo la madawa ya kulevya na wawe tayari kuleta changamoto katika kipindi au kusaidia kupata ufumbuzi wa tatizo. Tafadhali thibitisha kuhudhuria kwako kupitia barua pepe: Mtsimbe@micronet.co.tz

Kipindi cha kwanza kitarushwa tarehe 24-11-2013 na Mada itakayoongelewa na "Tatizo la Madawa ya Kulevya na Ufumbuzi Wake"

Wageni wa kipindi wanaotarajia kuwepo ni:
  1. Kamishna wa tume ya Madawa ya Kulevya
  2. Kamanda wa Kikosi cha Kupambana na Madawa ya Kulevya
  3. Mkurugenzi wa Mashtaka wa Serikali DPP
  4. Mkemia Mkuu wa Serikali
  5. Daktari anayetibu waathirika
  6. Mh. Esther Bulayo mbunge aliyewakilisha mada husika Bungeni
  7. Ray C – Msanii na Balozi wa Madawa ya kulevya. Atatumbuiza pia.
  8. Kitale: Msanii anayeigiza kama teja
  9. Asasi inayojihusisha na kusaidia walioathirika na madawa ya kulevya

Wale wote wenye michango ya msingi au maoni au ufumbuzi au maswali mnayopenda wahusika waulizwe pia mnaweza kuniandikia mapema.

TV Talk Show itajulikana kama "Wake Up & Change" au "Amka na Badilika" na ni kipindi kitakachorushwa kila wiki siku ya jumapili usiku.

1. Madhumuni ya Kipindi

a) Kubadilisha mitazamo ya watazamaji ili iwe mitazamo chanya zaidi kwa mambo mbalimbali pamoja na kuwahamasisha kubadili tabia na kuchukua hatua katika kukabiliana na matatizo.
b) Kutafuta na kutoa majibu kwa masuala muhimu yanayohitaji kupatiwa ufumbuzi au utatuzi wa matatizo na pia kujibu maswali yanayohusiana na mada husika kutoka kwa watazamaji waalikwa.
c) Kukifanya kipindi kama jukwaa la majadiliano katika mambo muhimu ya kijamii na kitaifa na kuhamasisha mabadiliko chanya.

2. Ubunifu wa Kipindi

Kipindi kimebuniwa ili kuleta majadiliano yatakayoleta hisia kwa wote watakaohusika katika mjadala na pia watazamaji. Jambo hili ni muhimu zaidi ili kuleta matokeo chanya kwa wote wanaoangalia kipindi. Kwa ujumla kipindi kimebuniwa kutatua matatizo mbalimbali ya watu binafsi, familia, jumuiya, jamii na taifa kwa ujumla huku kikitoa mikakati na mipango ya kutatua matatizo na kuwahamasisha watazamaji kubadilika. Studio itakoyorekodi vipindi hivyo pia imetengenezwa katika hali ya ubunifu na kupendezesha kipindi.


3. Mada Zitakazoongelewa

Kutakuwa na mada mbalimbali na mpya ambazo zitaongelewa kila wiki. Mada hizi zitategemea utafiti utakaofanywa na mamombi ya watazamaji ili mradi tu liwe ni tatizo ambalo linaigusa jamii au watu wengi. Mfano wa mada hizi ni pamoja na biashara; mahusiano; kazi na ajira; kilimo; Wanawake, rushwa; madawa ya kulevya nk.

4. Mpangilio wa Kipindi:

a) Kuwakilisha mada husika na kuitambulisha huku takwimu zikitolewa toka chanzo cha kuaminika.
b) Kulielezea tatizo husika katika uhalisia wake na kuwafanya watazamaji waone ukubwa wa tatizo
c) Kulijadili tatizo na kulichambua kwa kina huku maswali yakijibiwa
d) Kuwakilisha majibu na ufumbuzi wa tatizo
e) Kuhamasisha watazamaji wazinduke/waamke, kubadilika na kuchukua hatua ya kutatua tatizo kama lilivyo ainishwa.
f) Kipindi kitaendeshwa kwa mtindo wa majadiliano yenye hisia kali na hivyo kupeleka hisia kwa watazamaji pia.

5. Wageni wa Kipindi na Waalikwa Watazamaji:
a) Mwakilishi wa walioathirika jambo linaloongelewa
b) Mwakilishi aliyeweza kushinda tatizo linaloongelewa
c) Mwakilishi kutoka chombo au vyombo vya serikali vinavyotakiwa kushughulikia tatizo
d) Mwakilishi wa asasi inayojihusisha na tatizo
e) Mwanataaluma anyeweza kuchambua jambo husika na kuleta ufumbuzi
f) Waendesha kipindi wawili wa kike na wa kiume
g) Msanii atakeyetumbuiza siku husika kuwakilisha ujumbe husika
h) Wageni watakaoalikwa kutazama kipindi na kuuliza maswali kama wawailishi wa watazamaji wa TV


6. Walengwa wa Kipindi:

a) Vijana
b) Wanafunzi
c) Wafanyabiashra
d) Wanandoa
e) Na wananchi wote kwa ujumla.


7. Urushaji wa Kipindi na Upatikanaji katika DVD

a) Kipindi kitakuwa kinarekodiwa na kurushwa katika Luninga siku ya Jumapili saa 3 hadi saa nne usiku kwa muda wa saa moja. TBC1.
b) Baadhi ya vipindi vitavyoonekano kama ni mafunzo muhimu na adimu kwa watu na jamii vitarekodiwa katika DVD na kusambazwa na kuuzwa kwa bei nafuu kwa walengwa.
c) Wasambazaji watakaopenda kuuza DVD hizi wanakaribishwa pia kutuandikia.

8. Wadhamini wa Kipindi

Makampuni au mtu atakayependa kukidhamini kipindi na kuleta matangazo au kununua airtime anakaribishwa awasiliane nasi kupitia mtsimbe@micronet.co.tz
 
Kaka Sanctus Mtsimbe hongera sana kwa kuonyesha mguso juu ya tatizo la madawa ya kulevya na heko kwa kuchukua jitihada binafsi kwa niaba ya Taifa.

Hello Ericus Kimasha; asante sana. Tunajaribu tu kufanya sehemu yetu.

Kipindi hiki cha kwanza kitahusu madawa yan kulevya, hata hivyo vipindi vingine vitahusu maada nyingine zinazogusa jamii. Tunaomba ushauri wenu kwa jambo lolote mtakalodhani tunaweza kuliongelea na kuleta ufumbuzi wa kudumu.
 
Last edited by a moderator:
Kwanini TBC badala ya TV CHANEL zingine zinazoheshimika!?

tangu mwanzo huyu bwana,tulimweleza hii kitu akafikiri ni mipasho! na labda hakuuliza kwa nini TBC1 haifai.

watu wengi wamekuwa wakiitumia TBC1 kama chombo cha taifa hivyo kupitisha mambo yao lakini wameharibikiwa hasa vipindi.

Tatizo ni kwamba TBC1 wana mambo mengi sana kwa ufupi hii channel iko busy sana na ian mambo mengi ya kurusha na kutangaza hivyo jiandae kutoa sana 'kumradhi' kwa kipindi hiki kutoonekana wiki iliyopita kutokana na sababu zilizoko nje ya uwezo wetu.

mfano rais kuhutubia taifa,tukio lolote al kitaifa la live,bunge likiisha saa 2:30 usiku ,habari watarusha saa 3:00 hivyo kipindi kitasogezwa na kipindi kusogezwa tayari umepoteza watazamaji!

waulize the comedy,tusker project fame,fema ruka juu nkSanctus Mtsimbe

kazi kwako Sanctus Mtsimbe

nitafuatilia kipindi chako na kurudi kukupa mrejesho!
 
Last edited by a moderator:
tangu mwanzo huyu bwana,tulimweleza hii kitu akafikiri ni mipasho! na labda hakuuliza kwa nini TBC1 haifai.

watu wengi wamekuwa wakiitumia TBC1 kama chombo cha taifa hivyo kupitisha mambo yao lakini wameharibikiwa hasa vipindi.

Tatizo ni kwamba TBC1 wana mambo mengi sana kwa ufupi hii channel iko busy sana na ian mambo mengi ya kurusha na kutangaza hivyo jiandae kutoa sana 'kumradhi' kwa kipindi hiki kutoonekana wiki iliyopita kutokana na sababu zilizoko nje ya uwezo wetu.

mfano rais kuhutubia taifa,tukio lolote al kitaifa la live,bunge likiisha saa 2:30 usiku ,habari watarusha saa 3:00 hivyo kipindi kitasogezwa na kipindi kusogezwa tayari umepoteza watazamaji!

waulize the comedy,tusker project fame,fema ruka juu nkSanctus Mtsimbe

kazi kwako Sanctus Mtsimbe

nitafuatilia kipindi chako na kurudi kukupa mrejesho!

Asante sana FTP.

Hakika siwezi kudharau maoni ya wadau ya kujenga. Kila kitu lazima kiwe na mwanzo. katika kuanza prime time opportunity imepatikana TBC1 na tayari tuna mkataba.

Let us wait and see what will happen. Ni matumaini yangu kuwa mambo yataenda kama yalivyopangwa. Hata hivyo hatupuuzii ushauri.
 
Last edited by a moderator:
Duh! TBC1? kwa nini hukupeleka ITV,Channel ten au Star tv? mbona jumapili hawana mambo mengi?

kwanza TBC1 wamekudanganya,kwani Jumapili kila saa 3:00 usiku kuna kipindi cha Epiq Bongo Star search! cha kusaka vipaji vya kuimba chini ya madam Rita au labda kama ni TBC2.
 
Kwanini TBC badala ya TV CHANEL zingine zinazoheshimika!?

Thanks dolevaby, imetupasa tuanzie mahali.

Channel zenye coverage kubwa kwa sasa ni Star TV, ITV na TBC1. Pia mikataba na bei zinatofautiana na hata nafasi za vipindi. So maamuzi yamezingatia mambo mengi. Thanks.
 
Last edited by a moderator:
Thanks dolevaby, imetupasa tuanzie mahali.

Channel zenye coverage kubwa kwa sasa ni Star TV, ITV na TBC1. Pia mikataba na bei zinatofautiana na hata nafasi za vipindi. So maamuzi yamezingatia mambo mengi. Thanks.

kwa utafiti wa nani? zenye coverage kubwa au zinazotazamwa na watu wengi ? tambua hivi ni vitu 2 tofauti.

TV coverage kwa tanzania channel zote TBC,ITV,STAR,CHANNEL TEN ,CAPITAL NA EATV zinalingana lakini kwa kutazamwa .inategemea rika.kwa mfano kwa kipindi cha chako kingefaa sana EATV au Clouds TV na hivi sasa tambua kuna issue ya vingamuzi.baadhi ya channel hazionekani katika vingamuzi vyote mfano ITV na Star.

katika satelite tv zote zipo isokuwa clouds tv?

utafiti mnafanyiwa na nani nyie!
 
Duh! TBC1? kwa nini hukupeleka ITV,Channel ten au Star tv? mbona jumapili hawana mambo mengi?

kwanza TBC1 wamekudanganya,kwani Jumapili kila saa 3:00 usiku kuna kipindi cha Epiq Bongo Star search! cha kusaka vipaji vya kuimba chini ya madam Rita au labda kama ni TBC2.

Asante Rutunga M, kama nilivyoandika lengo kuu ni kupata prime time na coverage. Pia kuna swala la mkataba nk nk, hakika kuna mambo mengi nyuma ya pazia.

TBC1 hawajanidanganya kwa wiki moja kabla ya siku nay kuanza kipindi Bongo Star Search watakuwa mamemaliza msimu wao wa kipndi cha kusaka vipaji.

Una mchango au maoni yoyote kuhusu madawa ya kulevya?
 
Last edited by a moderator:
kwa utafiti wa nani? zenye coverage kubwa au zinazotazamwa na watu wengi ? tambua hivi ni vitu 2 tofauti.

TV coverage kwa tanzania channel zote TBC,ITV,STAR,CHANNEL TEN ,CAPITAL NA EATV zinalingana lakini kwa kutazamwa .inategemea rika.kwa mfano kwa kipindi cha chako kingefaa sana EATV au Clouds TV na hivi sasa tambua kuna issue ya vingamuzi.baadhi ya channel hazionekani katika vingamuzi vyote mfano ITV na Star.

katika satelite tv zote zipo isokuwa clouds tv?

utafiti mnafanyiwa na nani nyie!

Katika zama hizi za dijitali TV yoyote inauwezo kwa kujua kuna viewers wangapi kwa kupitia king'amuzi vinavyofunguliwa na watazamaji kufuatilia matangazo yao. Kuhusu coverage unaangalia geographical coverage ya transmission signals. So utafiti ulikuwa unaangalia vyote coverage na viewers na bahati nina statistics za vituo husika.

Kumbuka kuwa kipindi cha "wake Up and Change" kinabadilika mada na kila wiki. Kwa maada hii wahusika si vijana tu bali pia wazazi na viongozi. It is a cross-cutting issue ambayo inahitaji majibu ya uhakika ingawa ni kweli waathirika wengi ni vijana na vijana wengi wanafuatilia entertainment channels za EATV na Clouds TV.

Una maoni yoyote kuhusu mada husika?
 
Binafsi nimependa hiyo topic yako, liicha ya kwamba channel uliyoitumia wengi hawaipendi ila kwakuwa ushaingia nao mkataba na umesema ndio mwanzoni sioni ubaya wowote nikiamini huko mbeleni unaweza kutumia tv channel nyingine kutegemeana na nafasi na mazingira ya mkataba na kituo cha tv husika. Hongera ngoja nikutumie email,
Kazi njema wadau..
 
habari yko kaka mm naomba kuwa presenter wa hcho kipind coz napenda sana utangazaji toka moyon na na iman kipaji nnacho naamin naomba plz
 
Tunapenda kutoa mwaliko kwa wageni 20 tu watakaohudhuria katika kipindi kipya kitakachorushwa TBC1. Wageni lazima wawe wameguswa sana na tatizo la madawa ya kulevya na wawe tayari kuleta changamoto katika kipindi au kusaidia kupata ufumbuzi wa tatizo. Tafadhali thibitisha kuhudhuria kwako kupitia barua pepe: Mtsimbe@micronet.co.tz

Kipindi cha kwanza kitarushwa tarehe 24-11-2013 na Mada itakayoongelewa na "Tatizo la Madawa ya Kulevya na Ufumbuzi Wake"

Wageni wa kipindi wanaotarajia kuwepo ni:
  1. Kamishna wa tume ya Madawa ya Kulevya
  2. Kamanda wa Kikosi cha Kupambana na Madawa ya Kulevya
  3. Mkurugenzi wa Mashtaka wa Serikali DPP
  4. Mkemia Mkuu wa Serikali
  5. Daktari anayetibu waathirika
  6. Mh. Esther Bulayo mbunge aliyewakilisha mada husika Bungeni
  7. Ray C – Msanii na Balozi wa Madawa ya kulevya. Atatumbuiza pia.
  8. Kitale: Msanii anayeigiza kama teja
  9. Asasi inayojihusisha na kusaidia walioathirika na madawa ya kulevya

Wale wote wenye michango ya msingi au maoni au ufumbuzi au maswali mnayopenda wahusika waulizwe pia mnaweza kuniandikia mapema.

TV Talk Show itajulikana kama "Wake Up & Change" au "Amka na Badilika" na ni kipindi kitakachorushwa kila wiki siku ya jumapili usiku.

1. Madhumuni ya Kipindi

a) Kubadilisha mitazamo ya watazamaji ili iwe mitazamo chanya zaidi kwa mambo mbalimbali pamoja na kuwahamasisha kubadili tabia na kuchukua hatua katika kukabiliana na matatizo.
b) Kutafuta na kutoa majibu kwa masuala muhimu yanayohitaji kupatiwa ufumbuzi au utatuzi wa matatizo na pia kujibu maswali yanayohusiana na mada husika kutoka kwa watazamaji waalikwa.
c) Kukifanya kipindi kama jukwaa la majadiliano katika mambo muhimu ya kijamii na kitaifa na kuhamasisha mabadiliko chanya.

2. Ubunifu wa Kipindi

Kipindi kimebuniwa ili kuleta majadiliano yatakayoleta hisia kwa wote watakaohusika katika mjadala na pia watazamaji. Jambo hili ni muhimu zaidi ili kuleta matokeo chanya kwa wote wanaoangalia kipindi. Kwa ujumla kipindi kimebuniwa kutatua matatizo mbalimbali ya watu binafsi, familia, jumuiya, jamii na taifa kwa ujumla huku kikitoa mikakati na mipango ya kutatua matatizo na kuwahamasisha watazamaji kubadilika. Studio itakoyorekodi vipindi hivyo pia imetengenezwa katika hali ya ubunifu na kupendezesha kipindi.


3. Mada Zitakazoongelewa

Kutakuwa na mada mbalimbali na mpya ambazo zitaongelewa kila wiki. Mada hizi zitategemea utafiti utakaofanywa na mamombi ya watazamaji ili mradi tu liwe ni tatizo ambalo linaigusa jamii au watu wengi. Mfano wa mada hizi ni pamoja na biashara; mahusiano; kazi na ajira; kilimo; Wanawake, rushwa; madawa ya kulevya nk.

4. Mpangilio wa Kipindi:

a) Kuwakilisha mada husika na kuitambulisha huku takwimu zikitolewa toka chanzo cha kuaminika.
b) Kulielezea tatizo husika katika uhalisia wake na kuwafanya watazamaji waone ukubwa wa tatizo
c) Kulijadili tatizo na kulichambua kwa kina huku maswali yakijibiwa
d) Kuwakilisha majibu na ufumbuzi wa tatizo
e) Kuhamasisha watazamaji wazinduke/waamke, kubadilika na kuchukua hatua ya kutatua tatizo kama lilivyo ainishwa.
f) Kipindi kitaendeshwa kwa mtindo wa majadiliano yenye hisia kali na hivyo kupeleka hisia kwa watazamaji pia.

5. Wageni wa Kipindi na Waalikwa Watazamaji:
a) Mwakilishi wa walioathirika jambo linaloongelewa
b) Mwakilishi aliyeweza kushinda tatizo linaloongelewa
c) Mwakilishi kutoka chombo au vyombo vya serikali vinavyotakiwa kushughulikia tatizo
d) Mwakilishi wa asasi inayojihusisha na tatizo
e) Mwanataaluma anyeweza kuchambua jambo husika na kuleta ufumbuzi
f) Waendesha kipindi wawili wa kike na wa kiume
g) Msanii atakeyetumbuiza siku husika kuwakilisha ujumbe husika
h) Wageni watakaoalikwa kutazama kipindi na kuuliza maswali kama wawailishi wa watazamaji wa TV


6. Walengwa wa Kipindi:

a) Vijana
b) Wanafunzi
c) Wafanyabiashra
d) Wanandoa
e) Na wananchi wote kwa ujumla.


7. Urushaji wa Kipindi na Upatikanaji katika DVD

a) Kipindi kitakuwa kinarekodiwa na kurushwa katika Luninga siku ya Jumapili saa 3 hadi saa nne usiku kwa muda wa saa moja. TBC1.
b) Baadhi ya vipindi vitavyoonekano kama ni mafunzo muhimu na adimu kwa watu na jamii vitarekodiwa katika DVD na kusambazwa na kuuzwa kwa bei nafuu kwa walengwa.
c) Wasambazaji watakaopenda kuuza DVD hizi wanakaribishwa pia kutuandikia.

8. Wadhamini wa Kipindi

Makampuni au mtu atakayependa kukidhamini kipindi na kuleta matangazo au kununua airtime anakaribishwa awasiliane nasi kupitia mtsimbe@micronet.co.tz

Vipi November 24,2013 sikuona hii program nini kilitokea? ndugu Sanctus Mtsimbe
 
Last edited by a moderator:
Vipi November 24,2013 sikuona hii program nini kilitokea? ndugu Sanctus Mtsimbe
FTP asante sana kwa kufuatilia na kuulizia. Ratiba ilibadilika baada ya Bongo Star Search kuomba waongezewe muda ili fainali zifanyike bila kuingiliana na ujio wa P-Square. As a result kipindi chetu cha kwanza sasa kitarushwa siku ya Jumapili tarehe 08-12-2013 saa 3 hadi saa 4 usiku.
 
Last edited by a moderator:
FTP asante sana kwa kufuatilia na kuulizia. Ratiba ilibadilika baada ya Bongo Star Search kuomba waongezewe muda ili fainali zifanyike bila kuingiliana na ujio wa P-Square. As a result kipindi chetu cha kwanza sasa kitarushwa siku ya Jumapili tarehe 08-12-2013 saa 3 hadi saa 4 usiku.

Naskitika kuona kile nlichokisema kinatokea kaka. Ki ukweli TBC inaendeshwa gama gari bovu. Malengo yako yanaweza yasitimie
 
Last edited by a moderator:
Asante Rutunga M, kama nilivyoandika lengo kuu ni kupata prime time na coverage. Pia kuna swala la mkataba nk nk, hakika kuna mambo mengi nyuma ya pazia.

TBC1 hawajanidanganya kwa wiki moja kabla ya siku nay kuanza kipindi Bongo Star Search watakuwa mamemaliza msimu wao wa kipndi cha kusaka vipaji.

Una mchango au maoni yoyote kuhusu madawa ya kulevya?

Unakumbuka hii post yako siyo? Utaomba sana radhi mkuu! TBC ni full majanga! mimi nakisubiri sana lakini kiuweli utasota sana na hawa jamaa.watu wengi ninaowajua wameharibikiwa program zao hasa kutokuwa na series zinazoelewaka kwa wao kuingiza mambo yao wanayoita eti ni 'kitaifa' na maslahi ya nchi.

Kumuomba mungu tu.
kama wadau wanavyodai tayari hapo jumapili mbili umekwishapigwa.24/11/2013 na 1/12/2013 sasa kama umecukua udhamini wa watu inakuwaje? sisi hapa JF tunakushauri kwa kuwa wegine yamlikwishatukuta.

Muulize Pasco wa JF au Pascal Mayalla wa PPR
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom