Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Wadau,
Kampeni ndio zimeshaanza rasmi.
Lakini nashangazwa na baadhi ya Tv stations na blogs maarufu hapa nchini kuonyesha habari za CCM tu kana kwamba ndio chama pekee cha Siasa hapa nchini.
Kwa mfano ukitembelea Blogs maarufu za Michuzi, Mjengwa nk zimepambwa na picha za kijani.
Na kwa TV stations nazo ukiachilia mbali TBC1 ambayo ilishamtangaza JK kuwa ni Mshindi kabla hata ya Kampeni kuanza (Haina sauti kwa CCM).
Chanel Ten ndio kama ya CCM.
Radio stations nazo ndio kabisa.
CCM imeingia Ubia na vyombo hivi? Au hivi vyombo ni vinajipendekeza tu kwa chama tawala?
Hivi ni haki kwa vipasha habari hivi kuelemea chama kimoja tu?
Kampeni ndio zimeshaanza rasmi.
Lakini nashangazwa na baadhi ya Tv stations na blogs maarufu hapa nchini kuonyesha habari za CCM tu kana kwamba ndio chama pekee cha Siasa hapa nchini.
Kwa mfano ukitembelea Blogs maarufu za Michuzi, Mjengwa nk zimepambwa na picha za kijani.
Na kwa TV stations nazo ukiachilia mbali TBC1 ambayo ilishamtangaza JK kuwa ni Mshindi kabla hata ya Kampeni kuanza (Haina sauti kwa CCM).
Chanel Ten ndio kama ya CCM.
Radio stations nazo ndio kabisa.
CCM imeingia Ubia na vyombo hivi? Au hivi vyombo ni vinajipendekeza tu kwa chama tawala?
Hivi ni haki kwa vipasha habari hivi kuelemea chama kimoja tu?