TV Imaan Hewani, Hongera

Status
Not open for further replies.

Hii ndio iko sahihi.

ﻭَﻳَﻮْﻡَ ﻧَﺒْﻌَﺚُ ﻓِﻲ ﻛُﻞِّ ﺃُﻣَّﺔٍ ﺷَﻬِﻴﺪًﺍ ﻋَﻠَﻴْﻬِﻢْ ﻣِﻦْ ﺃَﻧْﻔُﺴِﻬِﻢْ ۖ ﻭَﺟِﺌْﻨَﺎ ﺑِﻚَ ﺷَﻬِﻴﺪًﺍ ﻋَﻠَﻰٰ ﻫَٰﺆُﻻَءِ ۚ ﻭَﻧَﺰَّﻟْﻨَﺎ ﻋَﻠَﻴْﻚَ ﺍﻟْﻜِﺘَﺎﺏَ ﺗِﺒْﻴَﺎﻧًﺎ ﻟِﻜُﻞِّ ﺷَﻲْءٍ ﻭَﻫُﺪًﻯ ﻭَﺭَﺣْﻤَﺔً ﻭَﺑُﺸْﺮَﻯٰ ﻟِﻠْﻤُﺴْﻠِﻤِﻴﻦَ

Na (waonye) siku tutakapo wainua mashahidi katika kila umma wakiwashuhudia kwa yanayo tokana na wao, na tutakuleta wewe uwe shahidi juu ya hao. Na tumekuteremshia Kitabu hiki kinacho bainisha kila kitu, na ni uwongofu, na rehema, na bishara kwa Waislamu.
 

Moja: Kwani kuna Quran ngapi?

Mbili: Hivi unajua kuwa hiyo niliyokuwekea ni sahihi international?

Tatu: Unakubali kuwa mwenzako FaizaFoxy ametuletea ayat ya Quran ambayo "ina mashaka"?

Nne: Hivi unajua kwa haya hapa pekee yanathibitisha kuwa Quran sio "rahisi" kueleweka kama inavyodai yenyewe?

Tano: Kama sio kweli ni rahisi kueleweka,si itakuwa imesema uongo?

Sita: Kama imesema uongo,je inaweza kuwa imetoka kwa Mungu kweli?

Saba: Kama haijatoka kwa Mungu itakuwa imetoka wapi?
 
mungu huyu wa boko haram, al qaeda, al shabaab kuuwa na kuteka mabinti wasiokuwa na hatia? huyu mungu wenu ni choko kabisa.

mtakapomjuwa almighty God ndio mtarudiwa na akili.

Kumbe ndio mnavyofundishwa madhabahuni dah! kazi ipo.
 


Good!! hata mm nlikua nasoma msahafu wa tafsiri ya quran hapa nkawa nashangaa yule mnafiki ametoa wapi ile tafsiri pale? shukran kwa kutuwekea quran halisi na tafsiri yake!!
 

Zote sawa, moja imeanza kati kati ya aya na moja imeanza mwanzo wa aya.

Jee, umeweza kuleta aya niliyokwambia uilete? naona umekwepa. Vipi?
 
.... wengi huwa wanapata habari za Waislam kutoka katika vyanzo ambavyo si vya Kiislam na huwa wanapotoshwa sana, sasa kitumieni chombo hicho kupata habari na kuujuwa Uislam kutoka kwa Waislam wenyewe.

Wa bi Llahi Tawfiq.
... kweli aisee. vyanzo vya kiislam ni pamoja na akina Abubakar Shekau (Boko Haram), Al Zahiri, Al FaizaFoxy, Ahmed Abdi Godane, na wachovu wengine.
 

Samahan najua ww sio msemaji wa tv iman wala star times , just km unajua hio ipo ktk kifurushi gani au chaneli ya free .
 

Nane: Hakuna Quraan zaidi ya moja.

Tisa: hilo swali namba mbili halina maana.

Kumi:Quraan HAINA MASHAKA YYT NDANI YAKE, Na sio km zile biblia zenu 54.

Kumi na moja: quraan NI NGUMU SANA kueleweka kwa watu wenye vichwa vilivyojaa maji! Na akili km ya tembo.

Kumi na kenda: pamoja na Kumi na tandato.
Quraan haijasema uongo na quraan INATOKA kwa Muumba wa mbigu na Ardhi.
Na ni kiboko kwa wale wenye kumsingizia Mungu kuwa ana mtoto wa kuzungu, hakika hao wako ktkt laana kuu!

Kumi na nne. Ukitaka kuielewa Quraan vizuri basi ACHA KUNYWA DAMU YA YESU km huyu mwenzako Nicholas.
 

Attachments

  • 1401382342516.jpg
    41.6 KB · Views: 62
Last edited by a moderator:
Zote sawa, moja imeanza kati kati ya aya na moja imeanza mwanzo wa aya.

Jee, umeweza kuleta aya niliyokwambia uilete? naona umekwepa. Vipi?

Hebu msome Boko haram hapo halafu uniambie ni kwanini yeye aameleta ambayo anadhani iko sahihi kuliko yangu na yako

 
Last edited by a moderator:

Hahahahaaaa

Mzee wa pumb.a hatimae umetoka kifungoni na sasa umevaa nguo zako halisi na sio zile za kuazima azima

Karibu sana na kama kawaida yako badala ya kujibu swali umeleta pumb.a
 
Hebu msome Boko haram hapo halafu uniambie ni kwanini yeye aameleta ambayo anadhani iko sahihi kuliko yangu na yako

Zote sahihi moja imeanzia mwanzo moja imeanzia kati kati ya sura, tofauti ni maneno ya wafasiri tu. Ukiisoma kwa lugha yake ya asili Kiarabu yote ni hiyo hiyo.

Qur'an ni moja tu, na ndiyo maana nikakuuliza wewe umesoma juzuu ngapi, naona ukakwepa hukujibu.

Jee, umeshaileta hiyo aya uliyotaka kutuaminisha?
 

Umesema "maana ni hiyo hiyo",maana hiyohiyo ipi?

Hilo la aya nimeshakujibu!
 
Haya mabandiko yenu yanatutia jelezi tu, mnasumbuliwa na jefule za maisha tu hamna lolote!!..
 
Umesema "maana ni hiyo hiyo",maana hiyohiyo ipi?

Hilo la aya nimeshakujibu!

Kama hujui Kiingereza wacha kuhororoja.

Umenijibu? mimi nataka uweke aya, sijakuuliza swali, punguani wahed.
 
Acha chuki
 

Is there any "faith" is Islam?

Poleni sana kwa huu msiba mlio upata...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…