Kama umeisoma Qur'an inakwambia:
Qur'an 21: 7. Na kabla yako hatukuwatuma ila watu wanaume tulio wapa wahyi (ufunuo). Basi waulizeni wenye ilimu ikiwa nyinyi hamjui
Qur'an 16: 43. Nasi hatukuwatuma kabla yako ila watu wanaume tulio wapa Wahyi (Ufunuo). Basi waulizeni wenye ukumbusho kama nyinyi hamjui
Sasa kijana, unaweza kusoma na usielewe, ni wapi pa kuuliza?
Njia mojawapo rahisi ni hiyo ya kutazama Waislam na kuwaona na kuwasikia na kuwauliza. Ilmu ya Qur'an ni bahri kubwa sana isiyo na mwisho na wala hutamkuta Alim yeyote akakwambia kuwa mimi nimemaliza kila kilichomo kwenye Qur'an kuna specialty zake humo na kuna watu wanabobea kaka hayo.
Nakupa ushauri tu, ikiwa unataka kujuwa Uislam jifunze zaidi kutoka kwa Waislam.
Nakutakia utazamaji mwema.
Wacha uoga, pitia upate ilmu.
Alhamdulillah, I am proud to be a MOSLEM, May ALLAH guide Us in a straight way and not of those who are astrayers, Ameen.
Sio kweli
Kuujua Uislam hatuna haja ya kutazama television station yoyote ile bali tunaisoma Quran pamoja na hadith na Sira baasi
Waislam wanaweza kuupotosha Uislam lakini hivyo nilivyovitaja hapo haviwezi kamwe kuupotosha
Labda kama unazungumzia kuwajua Waislam hapo ndipo tutalazimika kuwaangalia Waislam ambao ni pamoja na hicho kituo cha television!
dvj alieko studio naomba unipigie kaswida ya 'utakwenda peke ako kaburini ukakae, uende ukalale chini adhabu ikufaaaeeee' tafadhari sana
Alhamdulliha.
Hasbuna Llahu wa neema L'wakil.
Alhamdulillah, I am proud to be a MOSLEM, May ALLAH guide Us in a straight way and not of those who are astrayers, Ameen.
=Alhamdulilah
Bibi umerudi toka Canada au? Kuna kipindi anatangaza mwanamke?