TV Imaan Hewani, Hongera

Status
Not open for further replies.

Si ni Quran hii hii ambayo inadai kuwa rahisi kueleweka?

Sasa kama ni hivyo,yanini tena kutafuta watu wanieleweshe kitu ambacho ni rahisi kueleweka?
 
dvj alieko studio naomba unipigie kaswida ya 'utakwenda peke ako kaburini ukakae, uende ukalale chini adhabu ikufaaaeeee' tafadhari sana
 
Waislam kama wakristu wana haki sawa kufanya mambo Yao hasa yanayohusu imani Yao, so sio vizuri kuwabeza, ingawa Kuna hitilafu Kati ya hizi dini mbili, cha msingi kama alivyosema Faiza, chokochoko mara nyingi huanzishwa na watu wasiojua nini maana ya dini na amani, na Mimi naamini hivyo kwani nimeishi na waislam, na Nina marafiki waislam wengi Tu, na hizi chokochoko huwa naziona huku kwenye mitandao ya kijamii Tu, mtaani shwari kama kanisa la kkkt changanyikeni na msikiti WA changanyikeni vinavyoishi kwa amani.
...so hongereni Sana, na hubirini amani
 
Alhamdulillah, I am proud to be a MOSLEM, May ALLAH guide Us in a straight way and not of those who are astrayers, Ameen.

Sasa mbona unatumia lugha ya makafiri kufikisha ujumbe wako?
 

Takbiiiiiiiiiirrrrrrrr! Mshushie da'awa huyo mfataani FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Allahadulah!! Hawatafurahi Kwa Mafanikio Yenu Daima!! Kikubwa Ni Kupanga Na Kutekeleza Yetu Tu! Maneno Yenu Ya Shombo, Ndio Yaletayo Machafuko!! Chungeni Kauli Zenu!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…