Media za wenye Akili Kubwa Afrika Mashariki za Kenya, Uganda na Rwanda zinaajiri Waandishi wa Habari kwa Kigezo cha Taaluma ( Academic ), Umahiri ( Competency) na Akili ( Intelligence ) za Kwenu Kipaumbele ni wa Kike Kuvuliwa sana Chupi na wa Kiume Kuhonga 10% ya Mishahara yao, kuwa Chawa na Wambea Ofisini na Kujipendekeza mno kwa Mabosi ( Wamiliki ) unategemea kweli usione au usisikie Upuuzi huo uliouona na Kuusikia?