baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,456
- 2,181
Figo ni kiungo muhimu sana katika mwili wa mnyama na binadamu kwa kufanya kazi nyingi ikiwemo kutoa taka mwili n.k
Figo hukumbwa na matatizo mbalimbali ambazo huathiri utendaji wake kazi.
Leo ningepende tushirikishane mambo kadhaa ambayo hupelekea kiungo hiki muhimu kisifanye kaz yake ipasavyo .kwa mtu yeyote ambae alishapata tatizo hili tushirikishane na jinsi alivyokabiliana nalo .
Nianze kwa tatizo ambalo lilinikuta mm miaka miwili iliyopita nalo ni
Mawe katika figo(kidney stones)
Hili ni tatzo la figo ambapo hua inatokea inakua na vijimawe .ambavyo hupelekea maumivu makali yasio kifani kuelezea na ikiwezekana ukakojoa mpaka damu .na huwez vumilia mpaka uchomwe sindano za maumivu kwan vidonge vya maumivu mda mwingine hua havifanyi kazi.
Ni kwann nilipata hili tatzo?
-nilikua napenda sanaa kula chumvi nyingi
-nilikua nakula sanaa dagaa (hasa Shule,chuo)
-unywaji wangu wa maji ulikua kiasi
-nilikua nakunywa bia japo sio Sana
-nilikua navuja sana jasho hasa baada ya kuhamia dar(mkoa wenye joto Kali)
N.b babangu Alikua na tatzo la figo1 (sasa sijui kama ni la kirithi pia)
Jinsi nilivyokabiliana nalo
-kumwona daktari na kupigwa ultrasound (nilikutwa na mawe na maji kwenye figo (hydronephrosis)
-nilipewa dawa za kulainisha mawe
-nilianza kunywa maji mengi sanaa kusaidia kusukuma mawe yaliyokua yanashuka yakiambatana na maumivu makali mno
Hitimisho
- Afya ya figo ni muhimu sanaa na ni moja ya tatizo linalo ua watu wengi sanaa life style zetu zinachangia sanaa kwenye tatzo hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Figo hukumbwa na matatizo mbalimbali ambazo huathiri utendaji wake kazi.
Leo ningepende tushirikishane mambo kadhaa ambayo hupelekea kiungo hiki muhimu kisifanye kaz yake ipasavyo .kwa mtu yeyote ambae alishapata tatizo hili tushirikishane na jinsi alivyokabiliana nalo .
Nianze kwa tatizo ambalo lilinikuta mm miaka miwili iliyopita nalo ni
Mawe katika figo(kidney stones)
Hili ni tatzo la figo ambapo hua inatokea inakua na vijimawe .ambavyo hupelekea maumivu makali yasio kifani kuelezea na ikiwezekana ukakojoa mpaka damu .na huwez vumilia mpaka uchomwe sindano za maumivu kwan vidonge vya maumivu mda mwingine hua havifanyi kazi.
Ni kwann nilipata hili tatzo?
-nilikua napenda sanaa kula chumvi nyingi
-nilikua nakula sanaa dagaa (hasa Shule,chuo)
-unywaji wangu wa maji ulikua kiasi
-nilikua nakunywa bia japo sio Sana
-nilikua navuja sana jasho hasa baada ya kuhamia dar(mkoa wenye joto Kali)
N.b babangu Alikua na tatzo la figo1 (sasa sijui kama ni la kirithi pia)
Jinsi nilivyokabiliana nalo
-kumwona daktari na kupigwa ultrasound (nilikutwa na mawe na maji kwenye figo (hydronephrosis)
-nilipewa dawa za kulainisha mawe
-nilianza kunywa maji mengi sanaa kusaidia kusukuma mawe yaliyokua yanashuka yakiambatana na maumivu makali mno
Hitimisho
- Afya ya figo ni muhimu sanaa na ni moja ya tatizo linalo ua watu wengi sanaa life style zetu zinachangia sanaa kwenye tatzo hili
Sent using Jamii Forums mobile app