Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,373
Habarini wakuu,
Naamini angalau kila mmoja wetu anahitaji kuwa mtoto. Wengine wameshafanikiwa na wengine bado.
Je, wewe ambae una mtoto ni kitu gani kilikufanya uchukue hatua za kuamua kuwa na mtoto?
Na wewe ambaye bado hujapata mtoto na unahitaji ni nini kinakusukuma hivyo?
Swali hili linaweza kuonekana la kawaida au lisilo na maana sana, lakini majibu yake yatasaidia kufungua milango ya malezi kwa watoto hao.
Hebu tuzungumze hapa.
Naamini angalau kila mmoja wetu anahitaji kuwa mtoto. Wengine wameshafanikiwa na wengine bado.
Je, wewe ambae una mtoto ni kitu gani kilikufanya uchukue hatua za kuamua kuwa na mtoto?
Na wewe ambaye bado hujapata mtoto na unahitaji ni nini kinakusukuma hivyo?
Swali hili linaweza kuonekana la kawaida au lisilo na maana sana, lakini majibu yake yatasaidia kufungua milango ya malezi kwa watoto hao.
Hebu tuzungumze hapa.