Tuzo za watu: Hapa hamfanyi haki

Tuzo za watu: Hapa hamfanyi haki

Ulichosema ni kweli. Watoa tuzo walipaswa wachague wasanii mahiri wa ukweli kisha wawatangaze hao ili wapigiwe kura.
Hao wakina Lulu na wengine wa ajabu ajabu wasingepata nafasi kwani hawafai hata kuitwa wasanii zaidi ya kutangazia umma kuwa uchumi walioukalia unalipa sana.

Wanashindana kutwa uko insta kuonyeshana vitanda vya thamani na magar wanayoendesha, ukiwaambia waonyeshe kazi zao wanaanza kutumbua macho mxiuuuuuu
 
Leo umeandika thread ya kiume, safi sana
 
Wanaboa sana, tatizo wanafanya vitu bila kufanya uchunguzi wa kina, wenyewe wanawajua wakina lulu tu kwa kuwa kutwa wapo magazetini mxiuuuuuu, tumechoka #BRING BACK OUR TALENTS hatutaki wauza sura
kabisa.Halafu unajua Sanaa kwa Tanzania its a big time investment when you are serious.Hebu iwaze
 
kabisa.Halafu unajua Sanaa kwa Tanzania its a big time investment when you are serious.Hebu iwaze

Wawe wanajipanga na kuwa na taarifa sahihi kuhusu tasnia wanayotaka ku invest sio kukurupuka tu kuwaweka mburulaz
 
Back
Top Bottom