Tuzo za watu: Hapa hamfanyi haki

Tuzo za watu: Hapa hamfanyi haki

warumi kwenye kiwango chako cha juu kabisa cha ubora,kama sio wewe vile mwenye misonyo ya kike kama wanaijeria na maneno shombo kama vumba!!

Hongera kwa kuliona na kulikemea,ikiwezekana watupie na kule bongo five yao huenda Nancy na Mmewe mdosi wakaona tatizo!!!

Tumewachoka kwa kweli mxiuuu
 
Last edited by a moderator:
Tuzo gani yani mtu anaweza kupiga mara hata kumi? ujinga mtupu....
 
Wanachotushinda sie nchi za wenzetu ni kuwa kura zinazopigwa na washabiki zinachangia % ndogo sana ya ushindi wa mshiriki.

Kura nyingi zinatoka mea jopo la team ya wataalamu kutoka hiyo sanaa husika...

Na kwa kutumia njia hii inasaidia sana kupunguza kelele zisizokuwa na sababu kuwa fulani mbona kapendelewa....

Mfano kwenye shindano la Miss Tanzania miaka ya nyuma walikuwa wanajitahidi sana katika hili ila kwa sasa pia wao jopo la team yao linanunulika pia...

Mwisho wa siku ninaweza kusema tatizo la rushwa limechangia sana mambo yetu mengi hapa nchini yasiende sawa
 
Ulichosema ni kweli. Watoa tuzo walipaswa wachague wasanii mahiri wa ukweli kisha wawatangaze hao ili wapigiwe kura.
Hao wakina Lulu na wengine wa ajabu ajabu wasingepata nafasi kwani hawafai hata kuitwa wasanii zaidi ya kutangazia umma kuwa uchumi walioukalia unalipa sana.
 
Peoples choice awards hata kwa majuu iko ila nadhani kina nancy wamecopy project nusunusu.Peoples choice awards maana yake bongo5 inatoa categories then people zinapendekeza majina.ofcoz ukisema waigizaji wazuri wale watazama movie watawataja tu siku zote haki ya mtu haiuzwi.ila naona hawa wenzangu na mie wameweka categories na watu kabisa sasa hapo people zina choose nini?its a good idea kuwa na tuzo za watu ila basi wazingatie maana ya tuzo za watu.
 
Ulichosema ni kweli. Watoa tuzo walipaswa wachague wasanii mahiri wa ukweli kisha wawatangaze hao ili wapigiwe kura.
Hao wakina Lulu na wengine wa ajabu ajabu wasingepata nafasi kwani hawafai hata kuitwa wasanii zaidi ya kutangazia umma kuwa uchumi walioukalia unalipa sana.

Ifike mahali watanzania tuamke tusikubali kuyumbishwa, tunapoelekea sipo, unamuweka wema eti muigizaji bora wa kike? Kweli jamani? Watanzania hatujawa mburula kiasi hiki,wawekewe tu tuzo zao za mastaa wenye mvuto ila kwa waigizaji hapana kwa kweli inaumiza sana kuona vipaji vinakandamizwa na hawa waigizaji wa fashion
 
Peoples choice awards hata kwa majuu iko ila nadhani kina nancy wamecopy project nusunusu.Peoples choice awards maana yake bongo5 inatoa categories then people zinapendekeza majina.ofcoz ukisema waigizaji wazuri wale watazama movie watawataja tu siku zote haki ya mtu haiuzwi.ila naona hawa wenzangu na mie wameweka categories na watu kabisa sasa hapo people zina choose nini?its a good idea kuwa na tuzo za watu ila basi wazingatie maana ya tuzo za watu.

Wanaboa sana, tatizo wanafanya vitu bila kufanya uchunguzi wa kina, wenyewe wanawajua wakina lulu tu kwa kuwa kutwa wapo magazetini mxiuuuuuu, tumechoka #BRING BACK OUR TALENTS hatutaki wauza sura
 
Ulichosema ni kweli. Watoa tuzo walipaswa wachague wasanii mahiri wa ukweli kisha wawatangaze hao ili wapigiwe kura.
Hao wakina Lulu na wengine wa ajabu ajabu wasingepata nafasi kwani hawafai hata kuitwa wasanii zaidi ya kutangazia umma kuwa uchumi walioukalia unalipa sana.

Eti muigizaji wa kike anayependwa mxiuuuuu, kama unapendwa so whaaat? Sie tunataka kazi bora, mambo ya kupendwa sie ya nini? So ukipendwa ndio nini? Mxiuuuuuuu mbwa kabisa hawa.
 
Inshort wananiboa, hao akina lulu washasema kazi zao ni umalaya, basi sanaa wawaachie wenyewe, inaniuma sana riyama kukosa tuzo halafu hao wauza sura wanapewa kama njugu

Mbona mshindi bado izo ni top five tu
 
Back
Top Bottom