sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Wengine walitegemea baada ya kupata waziri anaetokea kwenye muziki basi kuna mambo walau tutaanza kupiga hatua.
Kinyume chake tunazidi kudidimia, Mwana FA kashindwa kusimamia tuzo. Ni vurugu hazieleweki.
Ni heri muwape agency wazisimamie wapeni hata benchmark. FA na timu yako mnatia aibu.
Kinyume chake tunazidi kudidimia, Mwana FA kashindwa kusimamia tuzo. Ni vurugu hazieleweki.
Ni heri muwape agency wazisimamie wapeni hata benchmark. FA na timu yako mnatia aibu.