Jana nimejaribu kupoteza usingizi kufuatilia hizi tuzo
lkn nilijiuliza maswali yafuatayo
1 hivi hawa wanaopewa tuzo vigezo gani vinazingatiwa
2 Baada ya wasanii kuzipata hizo tuzo kwa nini baada ya kusonga mbele wanarudi nyumba aka 20%
3 ............ Ongeza na nyingne
lkn nilijiuliza maswali yafuatayo
1 hivi hawa wanaopewa tuzo vigezo gani vinazingatiwa
2 Baada ya wasanii kuzipata hizo tuzo kwa nini baada ya kusonga mbele wanarudi nyumba aka 20%
3 ............ Ongeza na nyingne