Tuzo za BMT Aisha Masaka aibuka mwanamichezo Bora

Tuzo za BMT Aisha Masaka aibuka mwanamichezo Bora

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
11,498
Reaction score
27,280
Jana usiku Binti huyu mrefu mwenye mvuto wa kipekee ameibuka mwanamichezo Bora kwa upande wa wanawake
Aisha ameweka historia hiyo baada ya siku Chache kupewa tuzo na club yake ya Yanga kwa mafanikio yake katika soka
Itakumbukwa kuwa Aisha alijipata akitokea Yanga na Sasa anacheza Brighton pale Uingereza
Katika tuzo hizo Yanga imefanikiwa kuibuka team Bora baada ya kuwashinda team ya basketball ya dar city(team ambayo inadhaminiwa na Abdul)
Twiga stars imeibuka team Bora kwa upande wa wanawake
Tuzo hizo Jana zilifana sana
Samia5tena
 
Fadhil Majiha (bondia) kashinda kama mwanamichezo Bora kwa upande wa wanaume
 
Inasemekana aisha hajawahi kupigwa picha tangu utoto wake, hivyo mkitaka kumjua mnaombwa kufika nyumbani kwake kisiwani unguja
 

Attachments

  • Screenshot_20250602-102303.jpg
    Screenshot_20250602-102303.jpg
    218.5 KB · Views: 18
Back
Top Bottom