Tuzo ya mwalimu bora

Tuzo ya mwalimu bora

Hii tuzo ni kamari plus plus.Na kwa jinsi serikali ya CCM ilivyo usishangae kukuta wana vibali vyote vya kuendesha hii kamari
 
Mwl bora wa vipindi vipi? headmastar, mkuu wa chuo au mwl mkuu . Shida bado itakywepo.
 
sijui atakuwa mama nani?

"Mimi nafikiri watatumia vigezo kuwa mwalimu bora ni yule aliyemwezesha mumewe kushika
wadhifa mkubwa kuliko zote Tz"Vinginevyo Usanii mtupu
"
 
mshindi ataishia kupata laki tano bilion zitatumika kwenye mchakato wa kumpata mshindi
 
mshindi ataishia kupata laki tano bilion zitatumika kwenye mchakato wa kumpata mshindi

Ndiyo maana mimi nikasema ni usanii, watatumia mabillion katika mchakato halafu mshindi atapewa zawadi ndogo tu.
Yani watu wako kwenye ujasiriamali ni sawa na navyosikia kuna mkutano wa wajasiliamali wanawake naskia linatangazwa redioni eti kiingilio kawaida tshs 50,000 v.i.p 100,000. Sasa najiuliza hao watakao udhulia si ni wanawake wenye pesa tayari maana mwanamke wa kawaida 50,000 kwake ni mtaji anaenda kukopa finca aanzishe biashara ya nyanya hivyo haiwezi itoa kulipia mkutano.
Na mimi nitakuja na tuzo ya mchangiaji bora wa jf
 
ndiyo maana mimi nikasema ni usanii, watatumia mabillion katika mchakato halafu mshindi atapewa zawadi ndogo tu.
Yani watu wako kwenye ujasiriamali ni sawa na navyosikia kuna mkutano wa wajasiliamali wanawake naskia linatangazwa redioni eti kiingilio kawaida tshs 50,000 v.i.p 100,000. Sasa najiuliza hao watakao udhulia si ni wanawake wenye pesa tayari maana mwanamke wa kawaida 50,000 kwake ni mtaji anaenda kukopa finca aanzishe biashara ya nyanya hivyo haiwezi itoa kulipia mkutano.
Na mimi nitakuja na tuzo ya mchangiaji bora wa jf
watu wanafanya ujasiriamali wa kufundisha ujasiriamali? Mtu anakufundisha kufuga kuku wakati kwake hana hata mti wa ndege kutua
 
hii tuzo ni kamari plus plus.na kwa jinsi serikali ya ccm ilivyo usishangae kukuta wana vibali vyote vya kuendesha hii kamari
vibali vipo mkuu hata wewe unaombwa kuchangia
 
mimi naona uzushi tu walimu wako wengi sana tz,na bora wako wengi sana vijijini sasa watawezaje kupata mwalimu bora mimi naona ni mpango wa watu kula pesa tu.
 
katika mambo ambayo sijaelewa yakoje, ni kuhsuinana na hii tuzo.
 
IMG_0941.JPG
 
Hii tuzo kwani siyo demand driven. Wangetafuta means ya kuwahamasisha waalimu kwanza na si ma DR. na Maprofessa kuanzisha project ya kukusanya mahela kwa mgongo wa waalimu huku tukijua hiyo tuzo ni kama promosheni za kampuni za simu z mikononi kuandaa mshindi .

Haina mashiko ni miradi ya watu hiyo.
 
kuna mwalimu yupo kibondo ,kuna mwalimu yupo ngara. kuna mwingine anafundisha uhuru dar mjini kabisa kila mmoja ana mazingira yake , yani sielewi hii mechi inachezeshwaje? mkuu Matola hebu njoo hapa unipe jibu
Wifi yako amenikera sana leo, siku yangu imeharibika kabisa.
 
Kuna hii tuzo inatangazwa atapewa mwalimu bora hapa tz
hii imekaaje wadau?
Unaweza kupata mwalimu bora kuliko wote tanzania?
If yes
kwa vigezo vipi hadi awe the best kupita wenzake wote?
Nawasilisha

Ndolanga hayumo humo katika kabineti ya kuandaa mchakato?BONGO DAR-ES-SALAAM.
HIIII KITU HIIII KITU ?????????????????????????????.UBUNIFU MUHIMU
 
Back
Top Bottom