Conspiracy theorist
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 395
- 310
Hapo haujasema kweli,chuki ya Waislam kwa Wayahudi imekuja kutokana na mwanamke wa kiyahudi Aisha ambaye aliolewa na Muhammad kwa nguvu baada ya Muhammad kuua mume wake na watoto wake kusababisha kifo cha mtume wa allah kwa kumpa mtume nyama yenye sumu.Huo ndio ukweli na hakika.Ndio tunamjua sana,na hata ugomvi wetu na Wayahudi ulianza baada ya kumtusi Yesu ni mtoto nje ya ndoa,kwa mujibu wa dini ya Kiyahudi Nabii wanaemtambua wa mwisho Mussa.
Hayo uliyoyasema hapo juu ni ujanja ujanja wa kiislam tuu.