Tuwe wawazi; hivi kimuziki tunaweza kuwafikia watu wa Afrika Magharibi kweli?

Nazidi kupata vitu vipya vya kwa nini tuko nyuma sana?
Ktk thread no 38,39 mmeandika vitu mhimu mno.

Siasa za awamu ya kwanza zimeturudisha nyuma mno ktk mambo mengi.

Sijajua Mw Nyerere aliona utamaduni utamkwamisha vipi ktk kutawala nchi.
Haya mambo yana mzizi mrefu na kiukweli yametupotezea njia kabisa. Hivi ushawahi kusikiliza nyimbo za asili za WASAFWA na jinsi wanavyopiga vifaa vyao LIVE ??? Nilishawahi kushuhudia wakiwa wanapita mjini wakiimba, aisee nilishangaa sana jinsi wanavyopiga vyombo pamoja na kupangilia sauti zao. Wanaimba kama yule jamaa anaitwa AWILO MASOX, lakini nashangaa sana kuona aina ile ya muziki haijaendelezwa,.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom