ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Iddi mbaraka wapendwa,mkiona kimya mjue sina. Yaani jamaa akiendelea kama miaka mingine mitano tu, watanzania wote ni mbinguni bila kupingwa.
Leo mtaa wetu upo kimyaaaa!sisikii mlevi kuimba wala watoto na vijana kuelekea viwanja. Wote tuliii majumbani kwao wanacheki tv zao. Hakuna kelele yoyote,wameshiba wali mweupe na kifinyango Cha nyama au hata dagaa basi,hakuna soda,hakuna kualikana,kila mtu kwake.
Pongezi kwa hapa kazi tu.
Leo mtaa wetu upo kimyaaaa!sisikii mlevi kuimba wala watoto na vijana kuelekea viwanja. Wote tuliii majumbani kwao wanacheki tv zao. Hakuna kelele yoyote,wameshiba wali mweupe na kifinyango Cha nyama au hata dagaa basi,hakuna soda,hakuna kualikana,kila mtu kwake.
Pongezi kwa hapa kazi tu.