Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Una watoto wadogo na unahitaji msaidizi. Kazini kuna kijana amekuahidi kukuletea dada. Dada amekuja binti wa miaka 20 ni karembo with natural beauty.
Umekaa nae mwezi sasa, dada anaumwa homa homa zisizoisha na anapenda sana kulala. Unafikiria ni mimba lakini kumpima hana mimba, malaria hana. Unagundua ni HIV+. Ukimuuliza zaidi anakuambia alitoka kwao akiwa bikra lakini huko alikoanzia kazi baba alimbaka tena si mara moja.
Kwao ndiye anategemewa tume pesa za kupunguza makali ya maisha.
Utachukua uamuzi gani?
Umekaa nae mwezi sasa, dada anaumwa homa homa zisizoisha na anapenda sana kulala. Unafikiria ni mimba lakini kumpima hana mimba, malaria hana. Unagundua ni HIV+. Ukimuuliza zaidi anakuambia alitoka kwao akiwa bikra lakini huko alikoanzia kazi baba alimbaka tena si mara moja.
Kwao ndiye anategemewa tume pesa za kupunguza makali ya maisha.
Utachukua uamuzi gani?