Tuwe serious na issue serious za nchi

big banana

Member
Jan 23, 2021
44
83
Nitajaribu kuwaza kuhusu hoja za kupinga akina Mdee na wenzake kuwa wabunge. Watu wanachambua na kujenga hoja kuwa wamevunja katiba ya chama na ya nchi.

Kwa kifupi mimi niweke wazi kuwa niko tofauti na watu wengi wanaopinga akina Mdee kuwa wabunge. Naona kama tunapoteza muda kujadili hoja zisizo na tija kwa nchi yetu na kuongea hoja zinazowafaidisha watu wachache sana kwa faida ya matumbo yao.

Kwan akina Mdee na wenzake 19 wakiendelea kuwa wabunge kuna shida gan. Chadema wao si wamewafukuza. Wale ni wanawake na wanasifa zote za kuwa wabunge, wa viti maalum. Kosa lao ni kuwa chama kinadai hakikuwapendekeza au kuwa waliopendekezwa ni wengine na wala sio Mdee na wenzake?

Kama sio akina Mdee basi ni akina nani hao. Mbona hatujui majina Yao.

Kama hakuna waliopendekezwa na chama, kuna tatizo gan akina Mdee wenye sifa na haki zote kuwa wabunge. Kosa lao la pengine barua kutosainiwa na katibu, nasema pengine.

Niseme hivi Kwan ni lazima Katibu asain barua au mtu yeyote kwa niaba ya Katibu wa chama anaweza kusain.

Mdee yeye alikuwa mwenyekiti wa umoja wa wanawake. Wawakilishi wa wanawake huwa wanachaguliwa na wanawake wenyewe, wala sio baraza kuu. Je Mdee kuandika barua na kuisain kwa niaba ya Katibu mkuu wa chama kuna tatizo gani la kuweza kufukuzwa uanachama?

Kama kuna mtu alikosea taratibu pale ufipa si ni mambo ya kuambizana na kupeana elimu ndan ya chama. Hizi ni siasa, na kwenye siasa kuna rafu nyingi. Hivi ni kweli kuwa tatizo ni akina Mdee kuwa wabunge au tatizo ni wanawake fulan walio karibu na watu fulan kukosa hizo nafasi. Je ni kweli kuwa kama akina Joyce Mukya na wenzake wangekuwa kwenye kundi la akina Mdee na wenzake, hatua kama hizi zingechukuliwa na akina Mbowe?

Heb tuwe serious na issue serious. Haya mambo ya akina Mdee yanatutoa kwenye reli. Wale ni wanawake waliokuwa viongozi wa wanawake katika ngazi mbalimbali ndani ya chadema na walikuwa na sifa zote za kuwa wabunge wa viti maalum na hawakupokonya haki yoyote ya mwanamke mwingine kuwa mbunge. Waliendesha mchakato wa kuteua wabunge wa viti maalum wakapeleka tume ya uchaguzi. Kama chama kilikuwa hakitaki wapeleke, hilo ni Jambo la ndan ya chama, lakin katiba ya nchi ilikuwa inataka idadi fulan ya wanawake kutoka chadema kuwa wabunge baada ya matokeo Yale ya uchaguzi.

Sasa jaji ataamua kipi cha kuheshimu , katiba ya nchi au maamuzi ya chama yanayoenda kinyume na katiba.

Wale wataendelea kuwa wabunge mpaka uchaguzi ujao. Kujadili suala lao ni kukosa kazi za kufanya. Wana haki na sifa zote za kuendelea kuwa wabunge na hakuna mtu wa kuwatoa bungeni.

Atokee mtu mmoja basi mwenye uchungu na uvunjaji wa katiba akafungue Kesi mahakama kuu au mahakama ya katiba kuhoji kama ni halali kwa mzanzibari kuongoza au kuteua mtu wa kuongoza wizara zisizo za muungano.

Apeleke hoja mahakaman kuhoji kama ni halali kuagiza wizara zisizo za muungano kutekeleza projects mbalimbali sehem nyingine ya muungano. Wakaiombe mahakama iamuru na itamke kuwa mzanzibari hawezi kuongoza wizara au kuteua mtu kuongoza wizara zisizo za muungano.

Tuache kuhoji vitu visivyo na tija na vilivyo wazi, tuanze kuhoji vitu vikubwa vyenye kufikirisha na vyenye kuonyesha matatizo makubwa ya katiba yetu.

Alamsiki
 
Politicians are people who, when they see light at the end of the tunnel, go out and buy some more tunnel.
 
Nitajaribu kuwaza kuhusu hoja za kupinga akina Mdee na wenzake kuwa wabunge. Watu wanachambua na kujenga hoja kuwa wamevunja katiba ya chama na ya nchi.

Kwa kifupi mimi niweke wazi kuwa niko tofauti na watu wengi wanaopinga akina Mdee kuwa wabunge. Naona kama tunapoteza muda kujadili hoja zisizo na tija kwa nchi yetu na kuongea hoja zinazowafaidisha watu wachache sana kwa faida ya matumbo yao.

Kwan akina Mdee na wenzake 19 wakiendelea kuwa wabunge kuna shida gan. Chadema wao si wamewafukuza. Wale ni wanawake na wanasifa zote za kuwa wabunge, wa viti maalum. Kosa lao ni kuwa chama kinadai hakikuwapendekeza au kuwa waliopendekezwa ni wengine na wala sio Mdee na wenzake?

Kama sio akina Mdee basi ni akina nani hao. Mbona hatujui majina Yao.

Kama hakuna waliopendekezwa na chama, kuna tatizo gan akina Mdee wenye sifa na haki zote kuwa wabunge. Kosa lao la pengine barua kutosainiwa na katibu, nasema pengine.

Niseme hivi Kwan ni lazima Katibu asain barua au mtu yeyote kwa niaba ya Katibu wa chama anaweza kusain.

Mdee yeye alikuwa mwenyekiti wa umoja wa wanawake. Wawakilishi wa wanawake huwa wanachaguliwa na wanawake wenyewe, wala sio baraza kuu. Je Mdee kuandika barua na kuisain kwa niaba ya Katibu mkuu wa chama kuna tatizo gani la kuweza kufukuzwa uanachama?

Kama kuna mtu alikosea taratibu pale ufipa si ni mambo ya kuambizana na kupeana elimu ndan ya chama. Hizi ni siasa, na kwenye siasa kuna rafu nyingi. Hivi ni kweli kuwa tatizo ni akina Mdee kuwa wabunge au tatizo ni wanawake fulan walio karibu na watu fulan kukosa hizo nafasi. Je ni kweli kuwa kama akina Joyce Mukya na wenzake wangekuwa kwenye kundi la akina Mdee na wenzake, hatua kama hizi zingechukuliwa na akina Mbowe?

Heb tuwe serious na issue serious. Haya mambo ya akina Mdee yanatutoa kwenye reli. Wale ni wanawake waliokuwa viongozi wa wanawake katika ngazi mbalimbali ndani ya chadema na walikuwa na sifa zote za kuwa wabunge wa viti maalum na hawakupokonya haki yoyote ya mwanamke mwingine kuwa mbunge. Waliendesha mchakato wa kuteua wabunge wa viti maalum wakapeleka tume ya uchaguzi. Kama chama kilikuwa hakitaki wapeleke, hilo ni Jambo la ndan ya chama, lakin katiba ya nchi ilikuwa inataka idadi fulan ya wanawake kutoka chadema kuwa wabunge baada ya matokeo Yale ya uchaguzi.

Sasa jaji ataamua kipi cha kuheshimu , katiba ya nchi au maamuzi ya chama yanayoenda kinyume na katiba.

Wale wataendelea kuwa wabunge mpaka uchaguzi ujao. Kujadili suala lao ni kukosa kazi za kufanya. Wana haki na sifa zote za kuendelea kuwa wabunge na hakuna mtu wa kuwatoa bungeni.

Atokee mtu mmoja basi mwenye uchungu na uvunjaji wa katiba akafungue Kesi mahakama kuu au mahakama ya katiba kuhoji kama ni halali kwa mzanzibari kuongoza au kuteua mtu wa kuongoza wizara zisizo za muungano. Apeleke hoja mahakaman kuhoji kama ni halali kuagiza wizara zisizo za muungano kutekeleza projects mbalimbali sehem nyingine ya muungano. Wakaiombe mahakama iamuru na itamke kuwa mzanzibari hawezi kuongoza wizara au kuteua mtu kuongoza wizara zisizo za muungano .
Tuache kuhoji vitu visivyo na tija na vilivyo wazi, tuanze kuhoji vitu vikubwa vyenye kufikirisha na vyenye kuonyesha matatizo makubwa ya katiba yetu.

Alamsiki
Mahakama zinazooburuzwa na wanasii hasa Kwa ahadi ya vyeo😝
 
Unataka tujadili issue serious lakini kwako zile pesa zinazopotea kwa kuwalipa wale wahujumu uchumi kule bungeni huoni maana yake?

Hata kama mambo ya Bawacha yanaamuliwa na wanawake wenyewe, lakini lazima pawepo na "go ahead" toka kwa viongozi wa chama, sio kwasababu ni wanawake ndio wajifanyie wanavyotaka hata kupingana na maamuzi ya chama.
 
Nitajaribu kuwaza kuhusu hoja za kupinga akina Mdee na wenzake kuwa wabunge. Watu wanachambua na kujenga hoja kuwa wamevunja katiba ya chama na ya nchi.

Kwa kifupi mimi niweke wazi kuwa niko tofauti na watu wengi wanaopinga akina Mdee kuwa wabunge. Naona kama tunapoteza muda kujadili hoja zisizo na tija kwa nchi yetu na kuongea hoja zinazowafaidisha watu wachache sana kwa faida ya matumbo yao.

Kwan akina Mdee na wenzake 19 wakiendelea kuwa wabunge kuna shida gan. Chadema wao si wamewafukuza. Wale ni wanawake na wanasifa zote za kuwa wabunge, wa viti maalum. Kosa lao ni kuwa chama kinadai hakikuwapendekeza au kuwa waliopendekezwa ni wengine na wala sio Mdee na wenzake?

Kama sio akina Mdee basi ni akina nani hao. Mbona hatujui majina Yao.

Kama hakuna waliopendekezwa na chama, kuna tatizo gan akina Mdee wenye sifa na haki zote kuwa wabunge. Kosa lao la pengine barua kutosainiwa na katibu, nasema pengine.

Niseme hivi Kwan ni lazima Katibu asain barua au mtu yeyote kwa niaba ya Katibu wa chama anaweza kusain.

Mdee yeye alikuwa mwenyekiti wa umoja wa wanawake. Wawakilishi wa wanawake huwa wanachaguliwa na wanawake wenyewe, wala sio baraza kuu. Je Mdee kuandika barua na kuisain kwa niaba ya Katibu mkuu wa chama kuna tatizo gani la kuweza kufukuzwa uanachama?

Kama kuna mtu alikosea taratibu pale ufipa si ni mambo ya kuambizana na kupeana elimu ndan ya chama. Hizi ni siasa, na kwenye siasa kuna rafu nyingi. Hivi ni kweli kuwa tatizo ni akina Mdee kuwa wabunge au tatizo ni wanawake fulan walio karibu na watu fulan kukosa hizo nafasi. Je ni kweli kuwa kama akina Joyce Mukya na wenzake wangekuwa kwenye kundi la akina Mdee na wenzake, hatua kama hizi zingechukuliwa na akina Mbowe?

Heb tuwe serious na issue serious. Haya mambo ya akina Mdee yanatutoa kwenye reli. Wale ni wanawake waliokuwa viongozi wa wanawake katika ngazi mbalimbali ndani ya chadema na walikuwa na sifa zote za kuwa wabunge wa viti maalum na hawakupokonya haki yoyote ya mwanamke mwingine kuwa mbunge. Waliendesha mchakato wa kuteua wabunge wa viti maalum wakapeleka tume ya uchaguzi. Kama chama kilikuwa hakitaki wapeleke, hilo ni Jambo la ndan ya chama, lakin katiba ya nchi ilikuwa inataka idadi fulan ya wanawake kutoka chadema kuwa wabunge baada ya matokeo Yale ya uchaguzi.

Sasa jaji ataamua kipi cha kuheshimu , katiba ya nchi au maamuzi ya chama yanayoenda kinyume na katiba.

Wale wataendelea kuwa wabunge mpaka uchaguzi ujao. Kujadili suala lao ni kukosa kazi za kufanya. Wana haki na sifa zote za kuendelea kuwa wabunge na hakuna mtu wa kuwatoa bungeni.

Atokee mtu mmoja basi mwenye uchungu na uvunjaji wa katiba akafungue Kesi mahakama kuu au mahakama ya katiba kuhoji kama ni halali kwa mzanzibari kuongoza au kuteua mtu wa kuongoza wizara zisizo za muungano. Apeleke hoja mahakaman kuhoji kama ni halali kuagiza wizara zisizo za muungano kutekeleza projects mbalimbali sehem nyingine ya muungano. Wakaiombe mahakama iamuru na itamke kuwa mzanzibari hawezi kuongoza wizara au kuteua mtu kuongoza wizara zisizo za muungano .
Tuache kuhoji vitu visivyo na tija na vilivyo wazi, tuanze kuhoji vitu vikubwa vyenye kufikirisha na vyenye kuonyesha matatizo makubwa ya katiba yetu.

Alamsiki
Chama kinahitaji maridhiano ya ndani na kuyamaliza mambo Yao kistaarabu.Hicho chama kinapendwa hata na wasio wanachama wake.kiache magomvi,kisonge mbele Kwa sababu matarajio mema ni mengi na insha'Allah yatatimia.
 
Unataka tujadili issue serious lakini kwako zile pesa zinazopotea kwa kuwalipa wale wahujumu uchumi kule bungeni huoni maana yake?

Hata kama mambo ya Bawacha yanaamuliwa na wanawake wenyewe, lakini lazima pawepo na "go ahead" toka kwa viongozi wa chama, sio kwasababu ni wanawake ndio wajifanyie wanavyotaka hata kupingana na maamuzi ya chama.
Kwani hao watakaopewa hiyo go ahead watakaa bure bila kulipwa?
 
Kwan akina Mdee na wenzake 19 wakiendelea kuwa wabunge kuna shida gan. Chadema wao si wamewafukuza. Wale ni wanawake na wanasifa zote za kuwa wabunge, wa viti maalum. Kosa lao ni kuwa chama kinadai hakikuwapendekeza au kuwa waliopendekezwa ni wengine na wala sio Mdee na wenzake?
Nilifikiri utaandika mambo ya maana na serious kumbe ni haya ya kipuuzi. Eti Mdee akiendelea kuwa mbunge kuna shida gani, are you serious?!!!
 
Kwani hao akina nzehe ndee.
1. Wanalipwa zaidi ya wengine?
2. Hawachangii hoja na viroja?
Maana hata wakiletwa wengine watalipwa na pia watakuwa wanatoa michango kama hawa na huenda wakawa dhaifu.
4. Kama cdm iligomea uchaguzi kuwa haukuwa halali yule dada ilikuwaje akabaki bungeni kupitia jimbo lake, Je kuna double standard?
5. Je sasa cdm ikipeleka wengine 19 haioni kama inakula matapishi yake ya kugomea uchaguzi na itakuwa inaubariki uchaguzi iliyoukataa?
 
Hii issue ya kina Mdee kweli ya moto sana,
Yani uzi wako wa kwanza tangu uingie JF ni wa kuwatetea Mdee!

Kama ungechukuwa muda kidogo kushughulisha bichwa lako ungefahamu CHADEMA hawana shida na kina Mdee kuwa wabunge bali hawataki wajitambulishe au watambuliwe kuwa wanachama wa CHADEMA.
 
Hii issue ya kina Mdee kweli ya moto sana,
Yani uzi wako wa kwanza tangu uingie JF ni wa kuwatetea Mdee!

Kama ungechukuwa muda kidogo kushughulisha bichwa lako ungefahamu CHADEMA hawana shida na kina Mdee kuwa wabunge bali hawataki wajitambulishe au watambuliwe kuwa wanachama wa CHADEMA.
unamparua bure rudi nyuma nn kilikuwa root cause ya wao kuondolewa uanachama?unajadili kichwa badala ya miguu.its terrible!!
 
Nitajaribu kuwaza kuhusu hoja za kupinga akina Mdee na wenzake kuwa wabunge. Watu wanachambua na kujenga hoja kuwa wamevunja katiba ya chama na ya nchi.

Kwa kifupi mimi niweke wazi kuwa niko tofauti na watu wengi wanaopinga akina Mdee kuwa wabunge. Naona kama tunapoteza muda kujadili hoja zisizo na tija kwa nchi yetu na kuongea hoja zinazowafaidisha watu wachache sana kwa faida ya matumbo yao.

Kwan akina Mdee na wenzake 19 wakiendelea kuwa wabunge kuna shida gan. Chadema wao si wamewafukuza. Wale ni wanawake na wanasifa zote za kuwa wabunge, wa viti maalum. Kosa lao ni kuwa chama kinadai hakikuwapendekeza au kuwa waliopendekezwa ni wengine na wala sio Mdee na wenzake?

Kama sio akina Mdee basi ni akina nani hao. Mbona hatujui majina Yao.

Kama hakuna waliopendekezwa na chama, kuna tatizo gan akina Mdee wenye sifa na haki zote kuwa wabunge. Kosa lao la pengine barua kutosainiwa na katibu, nasema pengine.

Niseme hivi Kwan ni lazima Katibu asain barua au mtu yeyote kwa niaba ya Katibu wa chama anaweza kusain.

Mdee yeye alikuwa mwenyekiti wa umoja wa wanawake. Wawakilishi wa wanawake huwa wanachaguliwa na wanawake wenyewe, wala sio baraza kuu. Je Mdee kuandika barua na kuisain kwa niaba ya Katibu mkuu wa chama kuna tatizo gani la kuweza kufukuzwa uanachama?

Kama kuna mtu alikosea taratibu pale ufipa si ni mambo ya kuambizana na kupeana elimu ndan ya chama. Hizi ni siasa, na kwenye siasa kuna rafu nyingi. Hivi ni kweli kuwa tatizo ni akina Mdee kuwa wabunge au tatizo ni wanawake fulan walio karibu na watu fulan kukosa hizo nafasi. Je ni kweli kuwa kama akina Joyce Mukya na wenzake wangekuwa kwenye kundi la akina Mdee na wenzake, hatua kama hizi zingechukuliwa na akina Mbowe?

Heb tuwe serious na issue serious. Haya mambo ya akina Mdee yanatutoa kwenye reli. Wale ni wanawake waliokuwa viongozi wa wanawake katika ngazi mbalimbali ndani ya chadema na walikuwa na sifa zote za kuwa wabunge wa viti maalum na hawakupokonya haki yoyote ya mwanamke mwingine kuwa mbunge. Waliendesha mchakato wa kuteua wabunge wa viti maalum wakapeleka tume ya uchaguzi. Kama chama kilikuwa hakitaki wapeleke, hilo ni Jambo la ndan ya chama, lakin katiba ya nchi ilikuwa inataka idadi fulan ya wanawake kutoka chadema kuwa wabunge baada ya matokeo Yale ya uchaguzi.

Sasa jaji ataamua kipi cha kuheshimu , katiba ya nchi au maamuzi ya chama yanayoenda kinyume na katiba.

Wale wataendelea kuwa wabunge mpaka uchaguzi ujao. Kujadili suala lao ni kukosa kazi za kufanya. Wana haki na sifa zote za kuendelea kuwa wabunge na hakuna mtu wa kuwatoa bungeni.

Atokee mtu mmoja basi mwenye uchungu na uvunjaji wa katiba akafungue Kesi mahakama kuu au mahakama ya katiba kuhoji kama ni halali kwa mzanzibari kuongoza au kuteua mtu wa kuongoza wizara zisizo za muungano. Apeleke hoja mahakaman kuhoji kama ni halali kuagiza wizara zisizo za muungano kutekeleza projects mbalimbali sehem nyingine ya muungano. Wakaiombe mahakama iamuru na itamke kuwa mzanzibari hawezi kuongoza wizara au kuteua mtu kuongoza wizara zisizo za muungano .
Tuache kuhoji vitu visivyo na tija na vilivyo wazi, tuanze kuhoji vitu vikubwa vyenye kufikirisha na vyenye kuonyesha matatizo makubwa ya katiba yetu.

Alamsiki
Nimeishia hapo mwanzo tu juu. Nikiri sijasoma bandiko lote.

Umeandika shudu.
 
Wanawakilisha nani??
Hilo la Muungano kama umeliona hovyo nenda ww mahakamani!; usiwalaumu waliooana la kina mdee hovyo!
Play your party it can be done!
 
Chama kinahitaji maridhiano ya ndani na kuyamaliza mambo Yao kistaarabu.Hicho chama kinapendwa hata na wasio wanachama wake.kiache magomvi,kisonge mbele Kwa sababu matarajio mema ni mengi na insha'Allah yatatimia.
Mao tse Tung Aliwahi kusema siasa inapo shindikana basi vita inaibukuka ili kutatua matatizo yaloyo shindikana kutatuliwa kisiasa!
 
Wakaiombe mahakama iamuru na itamke kuwa mzanzibari hawezi kuongoza wizara au kuteua mtu kuongoza wizara zisizo za muungano.

Tuache kuhoji vitu visivyo na tija na vilivyo wazi, tuanze kuhoji vitu vikubwa vyenye kufikirisha na vyenye kuonyesha matatizo makubwa ya katiba yetu.

Alamsiki
Mkuu Ndizi Kubwa big banana, nimegundua somo la uraia linahitajika sana kwa Watanzania wengi, kujua Mtanzania ni nani na haki za kiraia. Muungano wetu ni muungano wa mataifa mawili yenye equal status ila in terms of area and population kuna dominant part of the majority and the minority. Wanzanzibari ni the minority, wana haki zote za uraia, kama Mtanzania mwingine yeyote ikiwemo kushika nafasi zozote ndani ya JMT, ila the fact kuwa Zanzibar ni the minority, on top of kuwa na haki zote za uraia wa JMT kama raia wengine wowote wa Tanzania, wao wanapewa upendeleo maalum wa kutengewa idadi ya nafasi kwenye Taasisi za muungano kama MFA, MOF, Mambo ya Ndani, Elimu ya Juu etc.
P
 
Back
Top Bottom