Huyu mtu alieweka hiki kibao atakuwa amelipwa hela kwa kazi hii na aliemlipa alitakiwa akague sasa sijui hiki kibao kimegeuzwa na upepo? Kipo mtaa wa Ohio Dar.
Hiki Kibao kuna nati moja ya juu imechomoka. Lakini inabidi tuwe serious maanake kimekaa hivyo hivyo muda mrefu sana mpaka mtu unaweza kudhani ndio design yake.
kuna kitu hujaelewa..hiko kibao kilishikiliwa na misumari miwili
wa juu na wa chini
sasa wa juu ukaachia...ndo kikateremka kimebaki kushikiliwa na msumari wa chini
kuna kitu hujaelewa..hiko kibao kilishikiliwa na misumari miwili
wa juu na wa chini
sasa wa juu ukaachia...ndo kikateremka kimebaki kushikiliwa na msumari wa chini
kuna kitu hujaelewa..hiko kibao kilishikiliwa na misumari miwili
wa juu na wa chini
sasa wa juu ukaachia...ndo kikateremka kimebaki kushikiliwa na msumari wa chini
Nimetumia lugha as if sijui kwanini ila najua kwanini kiko hivyo. Hamna screw iliong'oka wamekiweka upside down sijui lengo lao, huwa napita hapo kila asubuhi, nitaleta picha ya karibu.