Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,388
- Thread starter
- #61
Kwa yanayotokea leo hii naamini sasa utakuwa umenielewa japo huwezi kukiri hadharanihapo kwenye afya jamaa wako mwaka jana asingekatisha!
Kwa yanayotokea leo hii naamini sasa utakuwa umenielewa japo huwezi kukiri hadharanihapo kwenye afya jamaa wako mwaka jana asingekatisha!
Pascal Mayalla kuepuka yote uliosema wazo hili lililopo hapo juu likiboreshwa linaweza kutusaiadia ingawa huyo Bashite inawezekana sio kichaa bali inawezekana anaagizwa kufanya anayoyafanya.Hili wazo nimekuww nalo kichwani mwangu kwa karibu miezi mitatu au minne sasa ila kadri siku zinavyoenda nazidi kupata msukumo wa kulileta hapa mtandaoni kama wazo au maoni yangu.
Nafikiri wakati umefika tujiridhishe na historia ya afya ya akili ya watu wanaotaka kushika uongozi katika nafasi mbalimbali hasa kama watu hao waliwahi kutumia madawa ya kulevya yanayoharibu au kuathiri akili za binadamu.
Vile vile kujua historia ya familia wanazotoka kama baadhi ya ndugu zake huwa wana matatizo ya afya ya akili ya kurithi n.k.
Kwa mfano kama inawezekana vipimo vya kitaalamu kuthibitisha mtu fulani aliwahi tumia bangi kilpindi fulani katika maisha yake basi mtu huyo azuiwe na sheria ikiwezekana hata na katiba kugombea au kuteuliwa katika nafasi yoyote ile ya uongozi.
Hata serikalini mtu unapotaka kuajiriwa huwa unatakiwa kuchunguzwa afya yako(medical examination) ambapo daktari hukufanyia vipomo na kukujazia form maalumu kuelezea juu ya afya yako tena huwa inasisitizwa vipimo vifanyike katika hospitali za serikali.
Binafsi napendekeza uchunguzi huu wa afya uhusishe mpaka afya ya akili ya mtu kwa wale wanaogombea uongozi au kwa wale wanaoteuliwa kushika nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini.
kwa kila anaegombea uongozi kuwe na form maalumu ya siri(separate form) kwa ajili ya madakari kujaza taarifa za siri za mgombea kuhusu afya yake ya akili na iwe ni kosa la jinai(na si la kiimadili tu) kwa dakari au mtu mwingine yoyote kutoa siri za mgonjwa.
Hili ni pendekezo langu mimi kama mimi ila wadau mbalimbali wakiwemo madaktari wa afya ya akili wanaweza kuliboresha but all in all something must be done.
Ni ushauri tu kwa nia njema.
hapo kwenye afya jamaa wako mwaka jana asingekatisha!
Bado tu hujaamini?hapo kwenye afya jamaa wako mwaka jana asingekatisha!
Ahahahaha.....kutoboa sio mchezo...labda wangefoji vyeti maana kama wana asili hiyooo.hapo kwenye afya jamaa wako mwaka jana asingekatisha!
daah kuna chizi namjua harafu yupo kitengo muhimuKwa yanayotokea leo hii naamini sasa utakuwa umenielewa japo huwezi kukiri hadharani
Hili wazo nimekuww nalo kichwani mwangu kwa karibu miezi mitatu au minne sasa ila kadri siku zinavyoenda nazidi kupata msukumo wa kulileta hapa mtandaoni kama wazo au maoni yangu.
Nafikiri wakati umefika tujiridhishe na historia ya afya ya akili ya watu wanaotaka kushika uongozi katika nafasi mbalimbali hasa kama watu hao waliwahi kutumia madawa ya kulevya yanayoharibu au kuathiri akili za binadamu.
Vile vile kujua historia ya familia wanazotoka kama baadhi ya ndugu zake huwa wana matatizo ya afya ya akili ya kurithi n.k.
Kwa mfano kama inawezekana vipimo vya kitaalamu kuthibitisha mtu fulani aliwahi tumia bangi kilpindi fulani katika maisha yake basi mtu huyo azuiwe na sheria ikiwezekana hata na katiba kugombea au kuteuliwa katika nafasi yoyote ile ya uongozi.
Hata serikalini mtu unapotaka kuajiriwa huwa unatakiwa kuchunguzwa afya yako(medical examination) ambapo daktari hukufanyia vipomo na kukujazia form maalumu kuelezea juu ya afya yako tena huwa inasisitizwa vipimo vifanyike katika hospitali za serikali.
Binafsi napendekeza uchunguzi huu wa afya uhusishe mpaka afya ya akili ya mtu kwa wale wanaogombea uongozi au kwa wale wanaoteuliwa kushika nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini.
kwa kila anaegombea uongozi kuwe na form maalumu ya siri(separate form) kwa ajili ya madakari kujaza taarifa za siri za mgombea kuhusu afya yake ya akili na iwe ni kosa la jinai(na si la kiimadili tu) kwa dakari au mtu mwingine yoyote kutoa siri za mgonjwa.
Hili ni pendekezo langu mimi kama mimi ila wadau mbalimbali wakiwemo madaktari wa afya ya akili wanaweza kuliboresha but all in all something must be done.
Ni ushauri tu kwa nia njema.
Hili wazo nimekuww nalo kichwani mwangu kwa karibu miezi mitatu au minne sasa ila kadri siku zinavyoenda nazidi kupata msukumo wa kulileta hapa mtandaoni kama wazo au maoni yangu.
Nafikiri wakati umefika tujiridhishe na historia ya afya ya akili ya watu wanaotaka kushika uongozi katika nafasi mbalimbali hasa kama watu hao waliwahi kutumia madawa ya kulevya yanayoharibu au kuathiri akili za binadamu.
Vile vile kujua historia ya familia wanazotoka kama baadhi ya ndugu zake huwa wana matatizo ya afya ya akili ya kurithi n.k.
Kwa mfano kama inawezekana vipimo vya kitaalamu kuthibitisha mtu fulani aliwahi tumia bangi kilpindi fulani katika maisha yake basi mtu huyo azuiwe na sheria ikiwezekana hata na katiba kugombea au kuteuliwa katika nafasi yoyote ile ya uongozi.
Hata serikalini mtu unapotaka kuajiriwa huwa unatakiwa kuchunguzwa afya yako(medical examination) ambapo daktari hukufanyia vipomo na kukujazia form maalumu kuelezea juu ya afya yako tena huwa inasisitizwa vipimo vifanyike katika hospitali za serikali.
Binafsi napendekeza uchunguzi huu wa afya uhusishe mpaka afya ya akili ya mtu kwa wale wanaogombea uongozi au kwa wale wanaoteuliwa kushika nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini.
kwa kila anaegombea uongozi kuwe na form maalumu ya siri(separate form) kwa ajili ya madakari kujaza taarifa za siri za mgombea kuhusu afya yake ya akili na iwe ni kosa la jinai(na si la kiimadili tu) kwa dakari au mtu mwingine yoyote kutoa siri za mgonjwa.
Hili ni pendekezo langu mimi kama mimi ila wadau mbalimbali wakiwemo madaktari wa afya ya akili wanaweza kuliboresha but all in all something must be done.
Ni ushauri tu kwa nia njema.
Kama wote watapimwa huyo Kigwangwala, kijana wa vitumbua, atachomoka kweli!Hii ni hoja muhimu sana ! Nakala imfikie Hamis Kigwangwala , naibu waziri wa afya .
Hili wazo nimekuww nalo kichwani mwangu kwa karibu miezi mitatu au minne sasa ila kadri siku zinavyoenda nazidi kupata msukumo wa kulileta hapa mtandaoni kama wazo au maoni yangu.
Nafikiri wakati umefika tujiridhishe na historia ya afya ya akili ya watu wanaotaka kushika uongozi katika nafasi mbalimbali hasa kama watu hao waliwahi kutumia madawa ya kulevya yanayoharibu au kuathiri akili za binadamu.
Vile vile kujua historia ya familia wanazotoka kama baadhi ya ndugu zake huwa wana matatizo ya afya ya akili ya kurithi n.k.
Kwa mfano kama inawezekana vipimo vya kitaalamu kuthibitisha mtu fulani aliwahi tumia bangi kilpindi fulani katika maisha yake basi mtu huyo azuiwe na sheria ikiwezekana hata na katiba kugombea au kuteuliwa katika nafasi yoyote ile ya uongozi.
Hata serikalini mtu unapotaka kuajiriwa huwa unatakiwa kuchunguzwa afya yako(medical examination) ambapo daktari hukufanyia vipomo na kukujazia form maalumu kuelezea juu ya afya yako tena huwa inasisitizwa vipimo vifanyike katika hospitali za serikali.
Binafsi napendekeza uchunguzi huu wa afya uhusishe mpaka afya ya akili ya mtu kwa wale wanaogombea uongozi au kwa wale wanaoteuliwa kushika nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini.
kwa kila anaegombea uongozi kuwe na form maalumu ya siri(separate form) kwa ajili ya madakari kujaza taarifa za siri za mgombea kuhusu afya yake ya akili na iwe ni kosa la jinai(na si la kiimadili tu) kwa dakari au mtu mwingine yoyote kutoa siri za mgonjwa.
Hili ni pendekezo langu mimi kama mimi ila wadau mbalimbali wakiwemo madaktari wa afya ya akili wanaweza kuliboresha but all in all something must be done.
Ni ushauri tu kwa nia njema.
Kula like kama tano hivi mkuuAtayemchagua Lowassa akapimwe akili by mchungaji Msigwa sasa wale million sita sijui walishapimwa akili au unaona upande mmoja tu?
Nashukuru Mungu muda umethibitisha hoja yangu.Hii ni hoja muhimu sana ! Nakala imfikie Hamis Kigwangwala , naibu waziri wa afya .
Mungu ibariki JFNashukuru Mungu muda umethibitisha hoja yangu.
Hakika muda ni kiboko yao.
Upande upi?Atayemchagua Lowassa akapimwe akili by mchungaji Msigwa sasa wale million sita sijui walishapimwa akili au unaona upande mmoja tu?
Alikuwa anamtafuta kichaa. Sasa kichaa kajitaja mwenyewe jana.Kula like kama tano hivi mkuu
Mbona huyu aliye jitaja mwenyewe hawakumjua? Na baada ya kujitaja wanafanya nini? Mbona wanaendelea naye?Nafikiri ungeanza na fisadi lowasa, huyo ni mgonjwa wa akili perse na CCM wanamjua ndo maana wakamwaga, ni swala la muda tu kabla chadema hawajaligundua hilo!
Naunga mkono hojaHili wazo nimekuww nalo kichwani mwangu kwa karibu miezi mitatu au minne sasa ila kadri siku zinavyoenda nazidi kupata msukumo wa kulileta hapa mtandaoni kama wazo au maoni yangu.
Nafikiri wakati umefika tujiridhishe na historia ya afya ya akili ya watu wanaotaka kushika uongozi katika nafasi mbalimbali hasa kama watu hao waliwahi kutumia madawa ya kulevya yanayoharibu au kuathiri akili za binadamu.
Vile vile kujua historia ya familia wanazotoka kama baadhi ya ndugu zake huwa wana matatizo ya afya ya akili ya kurithi n.k.
Kwa mfano kama inawezekana vipimo vya kitaalamu kuthibitisha mtu fulani aliwahi tumia bangi kilpindi fulani katika maisha yake basi mtu huyo azuiwe na sheria ikiwezekana hata na katiba kugombea au kuteuliwa katika nafasi yoyote ile ya uongozi.
Hata serikalini mtu unapotaka kuajiriwa huwa unatakiwa kuchunguzwa afya yako(medical examination) ambapo daktari hukufanyia vipomo na kukujazia form maalumu kuelezea juu ya afya yako tena huwa inasisitizwa vipimo vifanyike katika hospitali za serikali.
Binafsi napendekeza uchunguzi huu wa afya uhusishe mpaka afya ya akili ya mtu kwa wale wanaogombea uongozi au kwa wale wanaoteuliwa kushika nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini.
kwa kila anaegombea uongozi kuwe na form maalumu ya siri(separate form) kwa ajili ya madakari kujaza taarifa za siri za mgombea kuhusu afya yake ya akili na iwe ni kosa la jinai(na si la kiimadili tu) kwa dakari au mtu mwingine yoyote kutoa siri za mgonjwa.
Hili ni pendekezo langu mimi kama mimi ila wadau mbalimbali wakiwemo madaktari wa afya ya akili wanaweza kuliboresha but all in all something must be done.
Ni ushauri tu kwa nia njema.