Tuwe na tabia ya kusifia wake zetu

Tuwe na tabia ya kusifia wake zetu

Buntungwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
549
Reaction score
310
Wapendwa habari za jioni,

Poleni na kazi za mchana kutwa,

Utakuta mtu anaishi na mume au mkewe hajawahi msifia mwenzi wake kuwa amependeza,mfano mke ametoka salon amejipamba vizuri anarudi nyumbani mume hamsifii hata kidogo,anaona kawaida tu.

Ila mwanamke yule akienda kazini kila mtu anamsifia kuwa umependeza sana,mumewe hajamsifia na hana hulka ya kumsifia mkewe.Utakuta mkewe huwa anamsifia sana mfano eee mume wangu umenyoa ndevu vizuri,

Hilo tisheti limekupendeza sana mme wangu,watu mlio na wapenzi wenu muwe na tabia ya kuwasifia kwa mambo mazuri wanayo watendea,usiku mwema🙂
 
Ni kweli........kusifiana muhimu......ila sasa wengine ukiwasifia wanaanza nyodo maana wanajiona wao ndio wanapendwa zaidi kuliko wao kupenda.......
 
Yaani hata mkinyoa ndevu mnataka msifiwe, mindevu yenu wenyewe kama hutaki kunyoa kaa nayo tu.
 
hivi Jukwaa la MMU hamlijui au ndo makusudi?
 
Wanaume ndio mjifunze kusifia wa kwenu. Sio mnasifia tu nje
 
kusifiwa kuna ongeza kujiamini kwawatu jamani, utashangaa nje wanakusifu nyumbani umetoka hata ujaambiwa umependeza
 
kusifiwa kuna ongeza kujiamini kwawatu jamani, utashangaa nje wanakusifu nyumbani umetoka hata ujaambiwa umependeza
Ulicho kisema ni kweli kabisa, tujifunze kusifia wenzi wetu
 
Wengine wakisifiwa inakuwa kama umeongeza catalyst ya kwenda kutongoza au kutongozwa na hatimaye kuchepuka.
 
Kwel watu wajifunze, m'mke anaweza kutekwa na kitu kidgo kama hiko iwapo tu akikipata toka kwa mtu mwngne..
 
Back
Top Bottom