Tuwe Makini

kupelwa mimi

Member
Nov 9, 2013
7
0
Hellow...Ushauri Wa Bure Kwa Wana JF.Naomba Tujitahidi Kuwa Wastarabu Kama Mtu Anahitaji Msaada Fulani Na Unaona Hauna Jitahidi Usichangie Uache Kuliko Kuchangia Maoni Ambayo Yanamkatisha Tamaa Mhusika. Maana Hali Hii Unatuangusha Sana Tulio Siliaz Na Maisha. Naamini Nimeeleka Kwa Weruv Lakini Ambao C Waerevu Ni Shda Kwao
 
Ukianzisha uzi humu ndani na wew pia uwe serious, sio uandike upuuzi alafu utegmee peace never, input = out put si unajua
 
nadhani hili lingepelekwa jukwaa la malamiko tu jamani!

au kule wana MMU hawafiki? ni mbali sana, eti?

halafu wewe mleta uzi inaonekana u mgeni humu!

gonga kwanza hodi, sio unakuja na malalamiko tuuuu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom