kupelwa mimi
Member
- Nov 9, 2013
- 7
- 0
Hellow...Ushauri Wa Bure Kwa Wana JF.Naomba Tujitahidi Kuwa Wastarabu Kama Mtu Anahitaji Msaada Fulani Na Unaona Hauna Jitahidi Usichangie Uache Kuliko Kuchangia Maoni Ambayo Yanamkatisha Tamaa Mhusika. Maana Hali Hii Unatuangusha Sana Tulio Siliaz Na Maisha. Naamini Nimeeleka Kwa Weruv Lakini Ambao C Waerevu Ni Shda Kwao